Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Locally literally not functionally. Yaani nikiwa Tanzania nikisema NBC nitaeleweka nazungumzia nini au nikisema National carrier inajulikana ni ATCL ila nikiwa Kenya nikizungumzia NBC inabidi nifafanue.Okay sawa mkuu. Asante sana. Kwahiyo NBC inapoingia mikataba ya nje ya nchini wanabadili jina ndani ya mkataba badala ya kuita NBC inatwa Tanzania Bank of Commerce??? NIC ikiingia mikataba na wawekezaji wa nje ya nchini badala ya kuwa NIC inaandikwa Tanzania Investment Center kwenye contracts???
Kwenye Mikataba kuna kipengele mwanzoni kabisa, kinachoeleza majina yanamaanisha nini, ili hapo baadae kusiwe na mkanganyiko. Jina halibadiliki.Okay sawa mkuu. Asante sana. Kwahiyo NBC inapoingia mikataba ya nje ya nchini wanabadili jina ndani ya mkataba badala ya kuita NBC inatwa Tanzania Bank of Commerce??? NIC ikiingia mikataba na wawekezaji wa nje ya nchini badala ya kuwa NIC inaandikwa Tanzania Investment Center kwenye contracts???
Duhh !!Unaandika vitu vizuri sana ila unakosea matumizi ya hizo ID zako mbili, waambie mods waziunganishe tu.
Kwa uelewa wangu, "National" hutumika kwa lengo la kupata nguvu ya kibiashara hasa kwa Taasisi zenye umiliku hasa wa sector binafsi, Lakini "Tanzania" hutumika kwa taasisi za serikali moja kwa moja.National hutumika locally. Yaani ukiwa hapa Tz ukisema National bank of commerce utaeleweka ila ukiwa nje ya mipaka yetu hutaeleweka.
Tanzania unaweza kutumia hata nje ya nchi. Ukisema Tanzania football federation utaeleweka.
mikataba gani kwa mfano?Okay sawa mkuu. Asante sana. Kwahiyo NBC inapoingia mikataba ya nje ya nchini wanabadili jina ndani ya mkataba badala ya kuita NBC inatwa Tanzania Bank of Commerce??? NIC ikiingia mikataba na wawekezaji wa nje ya nchini badala ya kuwa NIC inaandikwa Tanzania Investment Center kwenye contracts???
Nashauri waziite Beautful SoldierUnaandika vitu vizuri sana ila unakosea matumizi ya hizo ID zako mbili, waambie mods waziunganishe tu.
MARHABAAA DOGO LANGU LA MWISHOShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu nipo mzima kabisa wa afya.
Ni sehemu gani sahihi ya kutumia maneno "Tanzania" na "National"?
Mfano: Tanzania Football Federation (TFF) kwanini isingekuwa National Football Federation (NFF)
Mfano: National Bank of Commerce (NBC) kwanini haikuwa Tanzania Bank of Commerce (TBC).
Mfano: Tanzania Foods and Drugs Authority (TFDA) kwanini isingekuwa National Foods and Drugs Authority (NFDA)
Mfano: National Insurance Corporation kwanini isingekuwa Tanzania Insurance Corporation?
Ni wapi tunatumia neno Tanzania na wapi tunatumia neno National?
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA.
View attachment 1036968
National Insurance Coorporation siyo taasis ya serikali? National Microfinance Bank je? national stadium nayo je? National institute of productivity (NIIP)??? National Parks je???Kwa uelewa wangu, "National" hutumika kwa lengo la kupata nguvu ya kibiashara hasa kwa Taasisi zenye umiliku hasa wa sector binafsi, Lakini "Tanzania" hutumika kwa taasisi za serikali moja kwa moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha niliamua nisimjibu tu.National Insurance Coorporation siyo taasis ya serikali? National Microfinance Bank je? national stadium nayo je? National institute of productivity (NIIP)??? National Parks je???
Kwa maana hiyo TPDF (Tanzania People's Defense Force) ni kwaajili ya Tanzania bara tu na si mpaka visiwani??Tanzania inatumika kama kiwakilishi cha Tanzania bars..yani taasisi zinazotumia Tanzania zinafanya kazi bars tu.na kule kuna nyingine zinafanya kazi kwa jina la Znz...
mfno Tanzania tuna TFF..wakati Znz Luna ZFA...
Huku kuna TRA kule Luna ZRA
Ukiona taasisi inatumia National katika Nina lake hiyo inamaana kote bars na visiwani pia zipo na zinafanya kazi saw a..chini ya eidha bossi mmoja ama mkurugenzi mmoja..
Kiuhalisia ndiyo..maana kule wanavikosi vyao pia...ila kwa kuwa muungano..ndio maana unaona inakama kufosiwa Fulani hiviKwa maana hiyo TPDF (Tanzania People's Defense Force) ni kwaajili ya Tanzania bara tu na si mpaka visiwani??