Ipi ni Curry Powder best kwa sasa.

Singasinga

JF-Expert Member
Aug 27, 2011
2,649
3,164
Habari wakuu

Naomba kujua Curry powder ipi ni bora zaidi kwa sasa ambayo inaweza fanya mboga yangu ya bamia na nyanyachungu zitaste kama nyama roast.
 
Curry powder (binzari) kazi yake sio kuleta ladha ya nyama kwenye chakula.
 
Nadhani kuna binzali na masala ni vitu viwili tofauti. Binzali inaleta rangi then masala ndio inaleta ladha.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…