55" brand hizo inakua bei gani mkuu.Electronics zimeshuka bei sana mkuu usipate stress, jichange chukua LG au Samsung inch 32 kati ya 480k hadi 550k.
Fanya ivo utakuja kunishukuru baadae.
Kama pesa haitoshi unaweza kwenda dukani ukalipia pesa kiasi unapewa risiti fulani kisha unaendelea kujikusanya.
Jaman inawwzekana anataka inch 43-50, aasa samsung inch 32 viTV vya mabibo hostel hivo, arboda inch 50 1.2m unapata ,halafu siku hizi mambo ya brand zilizotamba zaman yameishaaa, China wapo vizuri sana, ni kama simu uje umekariei samsung aakat kuna huawei kali za 2m+Electronics zimeshuka bei sana mkuu usipate stress, jichange chukua LG au Samsung inch 32 kati ya 480k hadi 550k.
Fanya ivo utakuja kunishukuru baadae.
Kama pesa haitoshi unaweza kwenda dukani ukalipia pesa kiasi unapewa risiti fulani kisha unaendelea kujikusanya.
Setting tu hazjakaa sawaSorry nje ya mada. Tv yangu nikiangalia kupitia king'amuzi picha haiwi screen nzima inakuwa imejikata, space inabaki juu na chini lakini nikisema niangalie labda series au movie kutoka kwenye flash inaonekana vizuri screen nzima. Kwa mwenye kujua tatizo litakuwa nini.
Sorry nje ya mada. Tv yangu nikiangalia kupitia king'amuzi picha haiwi screen nzima inakuwa imejikata, space inabaki juu na chini lakini nikisema niangalie labda series au movie kutoka kwenye flash inaonekana vizuri screen nzima. Kwa mwenye kujua tatizo litakuwa nini.
saizi kubwa ya mwisho nchi ngapi?Electronics zimeshuka bei sana mkuu usipate stress, jichange chukua LG au Samsung inch 32 kati ya 480k hadi 550k.
Fanya ivo utakuja kunishukuru baadae.
Kama pesa haitoshi unaweza kwenda dukani ukalipia pesa kiasi unapewa risiti fulani kisha unaendelea kujikusanya.
aina gani?Sorry nje ya mada. Tv yangu nikiangalia kupitia king'amuzi picha haiwi screen nzima inakuwa imejikata, space inabaki juu na chini lakini nikisema niangalie labda series au movie kutoka kwenye flash inaonekana vizuri screen nzima. Kwa mwenye kujua tatizo litakuwa nini.
what do you mean by saying 4k?Ukienda kwa mafundi TV samsung pia zimejaaa ,resolution kali but very delicate. Star X smart inch 50 unakula 4k kama kawa na fresh kabisa kwa bei poa tuu
Bila shaka hutumii Hdmi cable wewe unatumia AVSorry nje ya mada. Tv yangu nikiangalia kupitia king'amuzi picha haiwi screen nzima inakuwa imejikata, space inabaki juu na chini lakini nikisema niangalie labda series au movie kutoka kwenye flash inaonekana vizuri screen nzima. Kwa mwenye kujua tatizo litakuwa nini.
Kitu Sony Bravia nakikubali sana. Rangi nzuri na Speaker nzuri wala hauhitaji kuunganisha na Sabufa.
Hizi TV zenye majina makubwa sio za kununua mkuu!Nilinunua Sony Bravia ,,,kpnd tu zimetoka ,,,kipnd hicho tulikuwa tunselekea kombe la dunia ,,,kama sikosei,,,,,,,,Cha ajabu nimeitumia miaka miwili baada ya hapo ikaanza weka michirizi had leo haionyoshi chochotee,,,,
Acha kumdanganya mwenzio. Nina tv mbili LG na Samsung zote nlinunua 2015 ila ukizicheki ni km ndo zmetoka dukani.Jaman inawwzekana anataka inch 43-50, aasa samsung inch 32 viTV vya mabibo hostel hivo, arboda inch 50 1.2m unapata ,halafu siku hizi mambo ya brand zilizotamba zaman yameishaaa, China wapo vizuri sana, ni kama simu uje umekariei samsung aakat kuna huawei kali za 2m+
Tupeane majina ya brands, specification zake na bei zake. Na machimbo wapi zinapatikana ili tuweke na sisi ndani.
Napendelea
Sony 32"
Lg 32"
Tcl 32"
Hicence 32"
Boss 32"
Wenye kujua bei zake zikiwa mpya na pia naomba kujuzwa na bei zake kwa smart tv pia.
Maana huko instagram wauzaji wengine naona wamejaa utapeli. Licha ya kwamba navutiwa na huyu jamaa anaitwa LAMPARD ELECTONICS.
Naishi MWANZA vipi huku mwanza maduka ya electronics kama hizo sijui yapo na bei zimekaaje maana kitu kije kitoke dar kifike mwanza unaweza uziwa kwa bei iliongezeka zaid