Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Salamu wakuu,
ukitizama kwa makini utaona jinsi dhana mbili zinazotumiwa na hivi vyama viwili yaani CHADEMA pamoja na CCM. tufanye tathmini ipi dhana bora?
1.BOTTOM UP APPROACH.
chadema ndio wanatumia dhana hii kwa kuamasisha umma,wanataka maamuzi ya wananchi kuhusu rasilimali zao na mambo yote yanayowahusu wananchi yaanzie kwao wananchi ndio yapande juu(management). Dhana hii inafanya maamuzi na mustakabali wa jambo lolote uanze kwenye primary local resource owner who are the one's affected directly or indirect.
2.TOP DOWN APPROACH
dhana hii kwa sasa naona kama imepitwa na wakati (outdated approach). Kwa muundo na mfumo wa dunia wa sasa it simply can not work, dhana hii maamuz na mustakabali wa wananchi unatoka juu kwenye kikundi kidogo cha watu kwenda chini na kikundi hiki kinaamini kwamba wako perfect.
Wanaamini mawazo yao yanaweza kutoa mustakabali wa watu zaidi ya milioni 45, dhana hii ina akisi dictactorship.
Je Ipi Dhana Bora Kati Ya hizi?
Naomba kuwasilisha
ukitizama kwa makini utaona jinsi dhana mbili zinazotumiwa na hivi vyama viwili yaani CHADEMA pamoja na CCM. tufanye tathmini ipi dhana bora?
1.BOTTOM UP APPROACH.
chadema ndio wanatumia dhana hii kwa kuamasisha umma,wanataka maamuzi ya wananchi kuhusu rasilimali zao na mambo yote yanayowahusu wananchi yaanzie kwao wananchi ndio yapande juu(management). Dhana hii inafanya maamuzi na mustakabali wa jambo lolote uanze kwenye primary local resource owner who are the one's affected directly or indirect.
2.TOP DOWN APPROACH
dhana hii kwa sasa naona kama imepitwa na wakati (outdated approach). Kwa muundo na mfumo wa dunia wa sasa it simply can not work, dhana hii maamuz na mustakabali wa wananchi unatoka juu kwenye kikundi kidogo cha watu kwenda chini na kikundi hiki kinaamini kwamba wako perfect.
Wanaamini mawazo yao yanaweza kutoa mustakabali wa watu zaidi ya milioni 45, dhana hii ina akisi dictactorship.
Je Ipi Dhana Bora Kati Ya hizi?
Naomba kuwasilisha