Ipi course nzuri kati ya hizi

Ipi course nzuri kati ya hizi

chazdlamarck

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2017
Posts
256
Reaction score
95
Kama inavyosomeka hapo kwenye heading naomba kufahamishwa zaidi kuhusu course hizi kwa degree ipi ni nzuri ukiisoma
1.Medical lab
2.Nurse
3.Microbiology
4.Molecular biology & Biotechnology
Ushauri mkuu unahitajika hapa
Ahsanteni
 
Kama inavyosomeka hapo kwenye heading naomba kufahamishwa zaidi kuhusu course hizi kwa degree ipi ni nzuri ukiisoma
1.Medical lab
2.Nurse
3.Microbiology
4.Molecular biology & Biotechnology
Ushauri mkuu unahitajika hapa
Ahsanteni
Angalia unayoipenda moyoni usifate yenye hela nyingi. Kama hutopata unayopenda hiyo hela ya ada fungua biashara au wakati unasoma angalia tena biasharaya kufungua. Maana nimesoma mpaka master kufata mkumbu wa wazazi na marafiki na ndugu vyeti vipokabatini nameanza kufanya navyopenda nimeanza kupata mwanga.kuna bro aliniambiaga maneno kama haya nika bushit na kumponda kimoyomoyo nikikutana nae nampa respect ya kutosha mpaka anashangaa
 
Angalia unayoipenda moyoni usifate yenye hela nyingi. Kama hutopata unayopenda hiyo hela ya ada fungua biashara au wakati unasoma angalia tena biasharaya kufungua. Maana nimesoma mpaka master kufata mkumbu wa wazazi na marafiki na ndugu vyeti vipokabatini nameanza kufanya navyopenda nimeanza kupata mwanga.kuna bro aliniambiaga maneno kama haya nika bushit na kumponda kimoyomoyo nikikutana nae nampa respect ya kutosha mpaka anashangaa
Ahsante mkuu
 
Kama inavyosomeka hapo kwenye heading naomba kufahamishwa zaidi kuhusu course hizi kwa degree ipi ni nzuri ukiisoma
1.Medical lab
2.Nurse
3.Microbiology
4.Molecular biology & Biotechnology
Ushauri mkuu unahitajika hapa
Ahsanteni
Kasomee io namba 4 safi sana...
 
Back
Top Bottom