Ipi Combination kati ya HGE na CBG?

Ipi Combination kati ya HGE na CBG?

Zote ni takataka ila hge ni takataka zaidi.
I guess elimu yako ni form au labda mwanao, nakushauri kama una C au D ya physics apply diploma ya CLINICAL MEDICINE
 
Zote ni takataka ila hge ni takataka zaidi.
I guess elimu yako ni form au labda mwanao, nakushauri kama una C au D ya physics apply diploma ya CLINICAL MEDICINE
matokeo yangu ni
hist-c
geo-c
bio-b
chem-c
math-d
phys-d
eng-a
civ-b
kisw-c
 
Yes omba CO ule mema ya nchi kuliko usome huo utopolo.
Wezio tunajuta hapa
hivi ma CO kumbe wanakula mema ya nchi bro?na wahasibu wasemeje sasa?
Dogo soma zako HGE then chuo kasome bcom au BAF, utachelewa kidogo kutoka but siku ukitoka hakuna cha CO wala MD atakaekukuta kimkwanja...
 
matokeo yangu ni
hist-c
geo-c
bio-b
chem-c
math-d
phys-d
eng-a
civ-b
kisw-c

ndugu nakushauri toa wazo la form five badala yake omba diploma za engineering vyui kama ARUSHA TECHNICAL, DIT na MUST MBEYA. unaweza omba kozi za Ordinary diploma in electrical engineering
Civil engineering
mechanical engineering
Biomedical equipment engineering etc. Zina maslahi mazuri kupita kozi za afya ila muhimu tu uwe na umahiri kwenye physics na maths.
 
ndugu nakushauri toa wazo la form five badala yake omba diploma za engineering vyui kama ARUSHA TECHNICAL, DIT na MUST MBEYA. unaweza omba kozi za Ordinary diploma in electrical engineering
Civil engineering
mechanical engineering
Biomedical equipment engineering etc. Zina maslahi mazuri kupita kozi za afya ila muhimu tu uwe na umahiri kwenye physics na maths.
vipi kuhusu accountancy
 
Wote mnamchanganya dogo na kuongea upupu tu.bwana mdgo ishi katika ndoto zako hautokuja kujitia kamwe
 
At least CBG japo nayo amna kitu ime kua ya wengi kama Arts tu
Hii ni kwale woga wa Physics au Maths ndo wanakimniliaga hii..
Mara nying mwsho wao wa reli huwa ni SUA tu..
Ila Kilimo ndo habari ya sasa, karibun tulime kwa nguvu mojai
 
vipi kuhusu accountancy
kama anahitaji accounts asisome accountancy yenyewe, asome business administration ambapo atafanya pia kazi za acconts na nyingine kwenye taasisi za fedha. Kwasababu ni form four anaanza na certificate in business administration(1yr) kisha ordinary diploma in business administration(2yrs).
 
Back
Top Bottom