Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,007
- 306
Hivi iphone kwanini zinauzwa bei kubwa sana huwezi linganisha na simu za android kipi utakacho kifanya kwenye simu ya Iphone kisicho kuwepo kwenye simu za androd kama ni mawasiliano yaleyale mm sioni kilicho zidi kwenye simu za iphone wwe pia waweza ongea kipi kisicho patikana kwenye androd na Iphone kipo
