Iphone

Iphone

Raphael gadau

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2017
Posts
1,007
Reaction score
306
Hivi iphone kwanini zinauzwa bei kubwa sana huwezi linganisha na simu za android kipi utakacho kifanya kwenye simu ya Iphone kisicho kuwepo kwenye simu za androd kama ni mawasiliano yaleyale mm sioni kilicho zidi kwenye simu za iphone wwe pia waweza ongea kipi kisicho patikana kwenye androd na Iphone kipo
 
Hivi iphone kwanini zinauzwa bei kubwa sana huwezi linganisha na simu za android kipi utakacho kifanya kwenye simu ya Iphone kisicho kuwepo kwenye simu za androd kama ni mawasiliano yaleyale mm sioni kilicho zidi kwenye simu za iphone wwe pia waweza ongea kipi kisicho patikana kwenye androd na Iphone kipo
Security kubwa
 
Mkuu unakua maana ya bland!? Kwa kifupu ni kwamba unapoanza kitu chochote cha kwanza tengeneza jina(brand) alafu pesa inakuja kufata

IPhone wametengeza jina na katika simu zote unazozijua iPhone ina bland kubwa zaidi kwaio saizi wanauza jina hata kwa ubora wa simu zao pia iPhone unafananishaje na tecno Mkuu acha dharau basi alafu iPhone ina status ya juu hata watu wanaoitumia wana status kidogo huwezi kukuta mtu wa kawaida anatumia iPhone ndio mana zinakua bei juu hebu jiulize kwani nyanya za gengeni na nyanya za supermarket tofauti yake ni nini?
 
436d33f6cb8ce737d30a19f6e03276c0.jpg
brand namba moja
 
Hivi iphone kwanini zinauzwa bei kubwa sana huwezi linganisha na simu za android kipi utakacho kifanya kwenye simu ya Iphone kisicho kuwepo kwenye simu za androd kama ni mawasiliano yaleyale mm sioni kilicho zidi kwenye simu za iphone wwe pia waweza ongea kipi kisicho patikana kwenye androd na Iphone kipo

Jaribu iOS utaona tofauti
 
Mkuu unakua maana ya bland!? Kwa kifupu ni kwamba unapoanza kitu chochote cha kwanza tengeneza jina(brand) alafu pesa inakuja kufata

IPhone wametengeza jina na katika simu zote unazozijua iPhone ina bland kubwa zaidi kwaio saizi wanauza jina hata kwa ubora wa simu zao pia iPhone unafananishaje na tecno Mkuu acha dharau basi alafu iPhone ina status ya juu hata watu wanaoitumia wana status kidogo huwezi kukuta mtu wa kawaida anatumia iPhone ndio mana zinakua bei juu hebu jiulize kwani nyanya za gengeni na nyanya za supermarket tofauti yake ni nini?
Mm mtu wa kawaida na ninatumia iPhone
 
Unachopata kwenye Samsung unakipata pia kwenye Oppo, Xiaomi au unbranded Phone, lakini still mtu anakwenda kutoa malaki ya mapesa kununua samsung. Pia suala la Security Apple ni kiboko, yaani ukiitia lock simu ikaibiwa basi alokuibia ataenda kuuza spea tu
 
Mkuu unakua maana ya bland!? Kwa kifupu ni kwamba unapoanza kitu chochote cha kwanza tengeneza jina(brand) alafu pesa inakuja kufata

IPhone wametengeza jina na katika simu zote unazozijua iPhone ina bland kubwa zaidi kwaio saizi wanauza jina hata kwa ubora wa simu zao pia iPhone unafananishaje na tecno Mkuu acha dharau basi alafu iPhone ina status ya juu hata watu wanaoitumia wana status kidogo huwezi kukuta mtu wa kawaida anatumia iPhone ndio mana zinakua bei juu hebu jiulize kwani nyanya za gengeni na nyanya za supermarket tofauti yake ni nini?
Nmekuelewa mkuuu
 
Hivi iphone kwanini zinauzwa bei kubwa sana huwezi linganisha na simu za android kipi utakacho kifanya kwenye simu ya Iphone kisicho kuwepo kwenye simu za androd kama ni mawasiliano yaleyale mm sioni kilicho zidi kwenye simu za iphone wwe pia waweza ongea kipi kisicho patikana kwenye androd na Iphone kipo

Hakuna jinsi ya kukueleza kuhusu ubora wa iPhone zaidi ya kuitumia,, kama huna iPhone basi chukua android yako na iPhone ya mtu then fungua apps zinazofanana mfano fb au insta kwenye iPhone utaona , mpangilio mzuri na zinafanya kazi vizuri na Kwa urahisi kuliko kwenye android , huu ni mfano mdogo tu ujaribu .

Alafu issue ya kusema iPhone ni bei kubwa ni uongo , simu kibao zina bei kuliko iPhone sema wao Apple hawana tabia ya kutengeneza cheap /crap phones , hawataki kabisa hili suala ndo maana wanatoa simu kali za bei ya juu peke yake .
 
kingine mkuu katika biashara kuna mambo matatu ambayo kabla hujaanza biashara yko inabidi ujiulize
-focus
-cost leadership
-differention
focus n zile sim zenye soko sehem fulan kama tecno wamefocus Africa

cost leadership nao tecno tena cheap production cheap uuzaji wa bidhaa zao

differention hao ndo i phone haijalish katika mazingira gan bei haishuk hapa brand inamata zaidi mfano mdogo maji ya kilimanjaro tanzania ni maji tu lkn ndo yanabei kubwa hyo n brand
 
Back
Top Bottom