Iphone mbona wapo nyuma sana

Iphone mbona wapo nyuma sana

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
apple intelligence ios charge _20250530_113253_0000.png


Toleo jipya la iOS 26 inaweza kuja na feature mpya ambayo inatumia Teknolojia ya Apple intelligence yenye kukuonyesha ni asilmia ngapi imebaki kwenye Simu yako ukiwa umechomeka chaji ili kujaa.

Ni feature ya kawaida ila inasaidia sana kujua ni kwa muda gani inachukua kuweza kujaa full lwa kuonyesha ni asilmia ngapi zimebaki. Feature hii ilibidi ianze kupatikana kwenye ios 19 lakini apple wataweza kuruka na kutoa iOS 26 badala ya ios 19.

Japo feature hii sio ngeni kwenye simu zinazotumia mfumo wa android kama vile Samsung, Infinix, Oppo, OnePlus, Vivo, Tecno nk.

Unawaambiaje Watumiaji wa simu za iphone!!! 😁😁
 
View attachment 3350673

Toleo jipya la iOS 26 inaweza kuja na feature mpya ambayo inatumia Teknolojia ya Apple intelligence yenye kukuonyesha ni asilmia ngapi imebaki kwenye Simu yako ukiwa umechomeka chaji ili kujaa.

Ni feature ya kawaida ila inasaidia sana kujua ni kwa muda gani inachukua kuweza kujaa full lwa kuonyesha ni asilmia ngapi zimebaki. Feature hii ilibidi ianze kupatikana kwenye ios 19 lakini apple wataweza kuruka na kutoa iOS 26 badala ya ios 19.

Japo feature hii sio ngeni kwenye simu zinazotumia mfumo wa android kama vile Samsung, Infinix, Oppo, OnePlus, Vivo, Tecno nk.

Unawaambiaje Watumiaji wa simu za iphone!!!
Duuh
 
View attachment 3350673

Toleo jipya la iOS 26 inaweza kuja na feature mpya ambayo inatumia Teknolojia ya Apple intelligence yenye kukuonyesha ni asilmia ngapi imebaki kwenye Simu yako ukiwa umechomeka chaji ili kujaa.

Ni feature ya kawaida ila inasaidia sana kujua ni kwa muda gani inachukua kuweza kujaa full lwa kuonyesha ni asilmia ngapi zimebaki. Feature hii ilibidi ianze kupatikana kwenye ios 19 lakini apple wataweza kuruka na kutoa iOS 26 badala ya ios 19.

Japo feature hii sio ngeni kwenye simu zinazotumia mfumo wa android kama vile Samsung, Infinix, Oppo, OnePlus, Vivo, Tecno nk.

Unawaambiaje Watumiaji wa simu za iphone!!! 😁😁
Ukitaka kujua mambo ya watu wa iPhone waulize watumiaji wa android - Steven Mengele
 
Sasa kama hutumii Apple unasumbuka nini?
 
View attachment 3350673

Toleo jipya la iOS 26 inaweza kuja na feature mpya ambayo inatumia Teknolojia ya Apple intelligence yenye kukuonyesha ni asilmia ngapi imebaki kwenye Simu yako ukiwa umechomeka chaji ili kujaa.

Ni feature ya kawaida ila inasaidia sana kujua ni kwa muda gani inachukua kuweza kujaa full lwa kuonyesha ni asilmia ngapi zimebaki. Feature hii ilibidi ianze kupatikana kwenye ios 19 lakini apple wataweza kuruka na kutoa iOS 26 badala ya ios 19.

Japo feature hii sio ngeni kwenye simu zinazotumia mfumo wa android kama vile Samsung, Infinix, Oppo, OnePlus, Vivo, Tecno nk.

Unawaambiaje Watumiaji wa simu za iphone!!! 😁😁
Mimi sina i phone lakini ni simu bora sana kuliko simu yoyote, ogopa kitu kutoka USA
 
Mimi sina i phone lakini ni simu bora sana kuliko simu yoyote, ogopa kitu kutoka USA
Ndo tumeaminishwa hivyo tech yoyote kutoka usa .. ni ya maana kumbel amna kitu tukija kwenye field unakuta ni sufuri labda waarab ndo watadanganywa
 
IPhone na mkoa wa DAR hakuna utofauti, kila nikijitahidi kuipenda lakini wapi 🙂🙂.
Na ukianza kuichaji iphone lazima ijiwashe,walikosa teknolojia ya kuzuia hilo, mi zilinishinda nikaachana nazo!

Huwa nawauliza wapenzi watumiaji kuwa: 'ni nini cha mno ndani ya iphone kuizidi Android?'

Huwa sipati jibu la kukidhi kama ambavyo Ccm imekosa jibu kuhusu hoja ya Gwajiboy!
 
Na ukianza kuichaji iphone lazima ijiwashe,walikosa teknolojia ya kuzuia hilo, mi zilinishinda nikaachana nazo!

Huwa nawauliza wapenzi watumiaji kuwa: 'ni nini cha mno ndani ya iphone kuizidi Android?'

Huwa sipati jibu la kukidhi kama kama ambavyo Ccm imekosa jibu kuhusu hoja ya Gwajiboy!
Unachaji simu ili uizime au unachaji ili iwake? Kwenye hilo nawapa kongole. Hata kama ni kibaka kakwapua simu inakuwa rahisi kuitrack.

NB MIMI SIO MUUMINI WA IPHONES
 
Na ukianza kuichaji iphone lazima ijiwashe,walikosa teknolojia ya kuzuia hilo, mi zilinishinda nikaachana nazo!

Huwa nawauliza wapenzi watumiaji kuwa: 'ni nini cha mno ndani ya iphone kuizidi Android?'

Huwa sipati jibu la kukidhi kama kama ambavyo Ccm imekosa jibu kuhusu hoja ya Gwajiboy!
. Siafu aking'ata kwenye mb.up.u ukiwa kwenye umati lazima utulie bila kujikuna zaidi utaishia kujitingisha tingisha mwili( gwajiboy ni bonge la Siafu)

. Sababu zao kuu watakuambia kuwa ina icloud 😅😅. Kiukweli iPhone haina utofauti na samaki wa urembo wanaofugwa ndani ya nyumba.
 
Ndo tumeaminishwa hivyo tech yoyote kutoka usa .. ni ya maana kumbel amna kitu tukija kwenye field unakuta ni sufuri labda waarab ndo watadanganywa
I phone ni simu nzuri sanaa, ni vile tu huna pesa za kuinunua ndio maana una hasira nazo. We komaa na androids mkuu, uwe una download buree😄😄😄
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom