jerrytz
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 5,980
- 4,284
Wadau,
nina tatizo, jana ''nili-restore to factory settings'' iPhone 6 plus, nilimaliza wakati nafanya set up ikahitaji password ya account ya iCloud, kwa kweli mwenye simu hakumbuki password na mpaka sasa sijui tufanyaje.
Tumepitia mitandao mbalimbali ikiwemo apple.com na kwa kweli njia pekee ya kufanya hii simu kutumika tena ni kukumbuka password ya iCloud maana ilisetiwa kwa ajili ya security iwapo ingepotea ''find my iphone''.
Wadau kuna namna nyingine ya kufanya maana nimejaribu kutumia apps za ku-bypass icloud account lakini sipati functions zote za simu.
Msaada na ushauri wako ni wa maana sana.
nina tatizo, jana ''nili-restore to factory settings'' iPhone 6 plus, nilimaliza wakati nafanya set up ikahitaji password ya account ya iCloud, kwa kweli mwenye simu hakumbuki password na mpaka sasa sijui tufanyaje.
Tumepitia mitandao mbalimbali ikiwemo apple.com na kwa kweli njia pekee ya kufanya hii simu kutumika tena ni kukumbuka password ya iCloud maana ilisetiwa kwa ajili ya security iwapo ingepotea ''find my iphone''.
Wadau kuna namna nyingine ya kufanya maana nimejaribu kutumia apps za ku-bypass icloud account lakini sipati functions zote za simu.
Msaada na ushauri wako ni wa maana sana.