mkuu! hujui hali yangu halisi ya maisha! no offence! by the way sijawahi itumia na even now siitumii! I'm trying to do business sio kwamba imenishinda matumizi! by the way kwanini inishinde?! Iphones kimekuwa kitu cha kawaida! anyways, sikuwa na plan ya kukujibu hivi ila jaribu kufikiria unachoondika before huja comment!