Gulf Streamer
Member
- Aug 7, 2014
- 90
- 40
- Thread starter
- #21
Fyi, unahitaji serial number tu kuweza unlock iphone iliyokuwa network locked, sielewi why ndugu yako ilimlazimu kutuma simu china, maana angeweza tuma imei tu, akatumiwa unlocking code.Iyo ndugu yangu ya kwako, mara nyingi iphone ikiwa locked kuifungua kwa apa bongo ni isue xn, kaka yangu mm alikuwa na iphone 4s moja hv ilikuwa locked imeshindikana mpaka wameenda ku unlock china ndio imekubali, maana alimtumia bro wangu mwingine ambaye yuko kule