Iphone 6 16GB for sale, laki7 tu

Iphone 6 16GB for sale, laki7 tu

Gulf Streamer

Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
90
Reaction score
40
Nauza I phone 6 16GB kwa laki saba tu!

Simu ni kama mpya, bado ipo locked kwa t mobile, kuifanya uitumie hapa TZ itakubidi utoe laki na nusu kwa watu wanao unlock simu.

Hata humu JF wapo wengi tu!

Karibu kwa swali lolote!
 
nauza I phone 6 16GB kwa laki saba tu!
Simu ni kama mpya, bado ipo locked kwa t mobile, kuifanya uitumie hapa tz itakubidi utoe laki na nusu kwa watu wanao unlock simu, hata humu jf wapo wengi tu!
Karibu kwa swali lolote!

Hiyo bwana ya kwako mwenyewe
 
nauza I phone 6 16GB kwa laki saba tu!
Simu ni kama mpya, bado ipo locked kwa t mobile, kuifanya uitumie hapa tz itakubidi utoe laki na nusu kwa watu wanao unlock simu, hata humu jf wapo wengi tu!
Karibu kwa swali lolote!
Iphone ambayo iko locked kwenye i-cloud haiwezi kufunguliwa popote pale hapa duniani!!!
 
Iphone ambayo iko locked kwenye i-cloud haiwezi kufunguliwa popote pale hapa duniani!!!

Nadhani haipo locked na icloud bali ipo locked na mtandao wa t mobile
na kunlock hiyo ni simple tu
 
Simu ipo Dar es salaam.
Haipo locked kwenye I cloud, ipo network locked.
Nliinunua nkiwa natumia tmobile, toka nimefika bongo nmekuwa naitumia kwa teathering kutoka kwenye simu nyingine, na nmekuwa mvivu ku unlock kutokana na kuwa na simu nyingine zinazofanania!
Watu wa ku unlock wapo wengi humu, mnaweza toa offer zenu za ku unlock pia muda mtaotumia unlocking it!
 
mzigo huu hapa
attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • IMG_3146.JPG
    IMG_3146.JPG
    154.6 KB · Views: 390
  • IMG_3148.JPG
    IMG_3148.JPG
    141.3 KB · Views: 384
  • IMG_3149.JPG
    IMG_3149.JPG
    171.9 KB · Views: 376
  • IMG_3152.JPG
    IMG_3152.JPG
    141.9 KB · Views: 357
Last edited by a moderator:
Iyo ndugu yangu ya kwako, mara nyingi iphone ikiwa locked kuifungua kwa apa bongo ni isue xn, kaka yangu mm alikuwa na iphone 4s moja hv ilikuwa locked imeshindikana mpaka wameenda ku unlock china ndio imekubali, maana alimtumia bro wangu mwingine ambaye yuko kule
 
Iphone 6 na unlock kwa 1K natumia 30 min!!! Ukihitaj ni pm!!! Kwa mweny cm any modem ku unlock ani pm pia nipo muhas
 
Co tatizo ku unlock!! Tatizo ni iphone 6 firmware hazipatikan mtandaon!! So k unlock au kuflash inakua ngumu!!! Firmware zake zinauzwa ebay!! Wabongo tunapenda dezoooooo
 
Back
Top Bottom