Icloud ni nini?/
naiona ktk simu yangu lakini sielewi chochote!
duu unakatisha tamaa kabisa
naomba ajaribu hivi asubiri update zinazokuja automatically then anapo upgade atapata option ya kubadili icloud account
au ku add another account nilfanya hivyo katika iphone 4s yangu baada ya kuzunguka kila sehemu but now aaah kama kumsukuma mlevi nanunua vitabu kila kitu
ilikuwa na id ya mtu mwingine na ndo maana nikasema asubiri update hapo atakuwa na access ya kuongeza icloud acc nyngine simu zina access ya accounts zaidi ya moja
mie c mtaalamu but I did that and am proud of that,
Sasa nimekuelewa,
Simu yako haikuwa locked na icloud lock bali unaitumia kama kawaida lakini ina Apple Id ya mtu mwingine( hii haina shida utaitumia tu kama kawaida)
Simu ikiwa na icloud lock huwezi fanya chochote maana ukiwasha tu unakutana na icloud lock pale pale, kama unavyoona kwenye picha ya post ya chini
Muuliza swali kakwamia hapa sasa
Hapa huwezi kupavuka hata ufanyeje mkuu, so far hakuna jinsi ya kubaypass icloud lock
Yako haikuwa na locked
Maelezo yake bado ayajitoshelezi maana uwezi fanya upgrade bila kujua password ya ID cloud iliyopokwenye Simu,
Nachoweza sema Huyu alipewa simu FIND MY PHONE ikiwa OFF ndio maana aliweza fanya hayo Na ndio maana anadhani unaweza fanya hivyo pia ikiwa ON, Hakuna shortcut ya kutoa Find my phone bila password
Hata wanaosema wameweza toa hiyo iCloud lock ni Kwa sababu hawakujua Kama FIND MY PHONE iko ON or OFF maana unaletewa simu ambayo sio functional Na uwezi jua Kama FIND MY PHONE iko on or off maana uwezi fika kwenye setting Kwa simu yenye tatizo ilo
duu unakatisha tamaa kabisa
naomba ajaribu hivi asubiri update zinazokuja automatically then anapo upgade atapata option ya kubadili icloud account
au ku add another account nilfanya hivyo katika iphone 4s yangu baada ya kuzunguka kila sehemu but now aaah kama kumsukuma mlevi nanunua vitabu kila kitu
duu unakatisha tamaa kabisa
naomba ajaribu hivi asubiri update zinazokuja automatically then anapo upgade atapata option ya kubadili icloud account
au ku add another account nilfanya hivyo katika iphone 4s yangu baada ya kuzunguka kila sehemu but now aaah kama kumsukuma mlevi nanunua vitabu kila kitu