Why huwa hamuwek ful detail?
detail gani sasa unahitaji wakati huyo jamaa anahitaji hiyo bidhaa tajwa hapo juu? mbona naona imejitosheleza hiyo title yake hapo juu mkuu?
Au unadhani kila kitu kina detail zaidi?
Unatosheleza kuitwa great thinker! Thanks for helping...
I need the above mentioned phone in good condition. Call me on 0712868278
Poa mkuu naomba kuwasiliana nae..