Ipe Maneno ,Picha Ya Leo

"Mtu mzima akihuzunika basi Malaika wanalia, ila kijana akihuzunika shetwani hufurahi"

Pole Mzee wetu....
 
Mmmmh!Hivi hawa mbele kwa mbele watanikumbuka kweli au ndo wanalisongesha wenyewe mi nivimbe nipasuke.
 
no retreat no surrender mwaka huu tunampigania seif ukomboz wa zanzibar then 2020 tanganyika
 
Nimezungusha mikono wee,, mbona mabadiriko napata ya mwili tu
 
"Yaani nisimame juani kusubiria kura....Halafu waje waniamulie kiongozi"
Kwaaaakweeeeli nimeumiaaaaa sanaaaaaa
 


Huyu ndio basi tena kamwe hawezi kushuhudia mabadiliko katika maisha yake yote hakuna namna ya kuweza kumsaidia.
 
Mabadiliko hayajalia umri...ipo siku yatakuja hata kama ni baada ya umri wa bibi huyu...Hongera bibi; hujafanana na wale wa kwetu..nyumba ya udongo, kimo cm 2; nguo haina tofauti na udongo bado anasema Kidumu!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…