Ama kweli maendeleo hayaji kwa bahati, bali kwa Mipango na Bidii ya kazi. Tazama hii, kulingana na uzoefu wako ni mkoa gani wenye watu wa bidii kama hii ?
Attachments
Maendeleo hayaji kwa bahati, bali kwa mipango na bidii.jpg
Haswaaa, ndilo lengo langu hilo. Nikuchangaye, siku zote ubaki kushangaa na kupoteza muda wako bila kujifunza kutoka kwa wenzako. Kama umeshindwa kutafsiri hiyo picha na kuilinganisha na juhudi za kupiga vita umasikini kwa kufanya kazi ya aina yoyote ile kwa bidii, utalaam na nguvu; endelea kuilalamikia Serikali yako kuwa haikuletei maendeleo binafsi !!!!!