faza faza maswali huwa hayajirudii ila katika kada hii kuna pia watu wa banking so kujua format si kujua maswali mkuuKama na wewe unataka kuyajua maswali ya usaili wa tutoria assistant tena kwenye kada yako na unaitaka kazi ya ualimu hakika wewe ni bomu tena hufai hata kumfundisha chizi!
Nijuavyo mimi huwez kuwa tutorial assistant kama huna GPA kubwa iliyotokana na performance nzuri kwenye masomo uliyosoma chuo sasa najiuliza hiyo GPA uliyonayo uliipataje??faza faza maswali huwa hayajirudii ila katika kada hii kuna pia watu wa banking so kujua format si kujua maswali mkuu


SAWA KAKANijuavyo mimi huwez kuwa tutorial assistant kama huna GPA kubwa iliyotokana na performance nzuri kwenye masomo uliyosoma chuo sasa najiuliza hiyo GPA uliyonayo uliipataje??
nikutoe wasiwasi kwa kukwambia kuwa kama GPA uliyonayo umeipata kihalali bila cheating ya aina yeyote just relax usubiri mtihani wa utumishi ufanye na utatusua.
Ila kama ulitumia njia za panya kupata GPA kubwa lazima ukalie tako moja![]()
Yaani tatizo la walioshindwa kupata gpa kubwa, wanaona wivu sana wanapomuona mtu anayo kubwa. Wanatafuta tu namna za kumkera.mbona mnamshambulia sana elimu yetu ya kibongo mnaijua msizuge Kama hamuifam ni ya kiujanja na kupata gpa kubwa haina maana kubwa unaijua content Sana hapana sema ni ufatiliaji na ujanja ujanja tu jamaa kauliza vizur ilipaswa mwenye experience ampe kidogo Mimi sioni kosa