Interview za utumishi

Interview za utumishi

Habari wakuu hivi kama umeitwa kwenye interview utumishi na una namba ya nida tu .Je unaweza kwenda na barua ya serikali za mitaa ikakubalika? Nawasilisha wana Jf
Hawakubali Mimi niliwah Rudishwa nikiwa na Copy kabsa ya kitambulusho maana Org ilipotea,,,
Wanapokea Barua ya Utambulisho, na usisahau kuweka passport yako kwnye hyo barua
 
Habari wakuu hivi kama umeitwa kwenye interview utumishi na una namba ya nida tu .Je unaweza kwenda na barua ya serikali za mitaa ikakubalika? Nawasilisha wana Jf
Hongera kaka kuitwa interview Mungu akusimamie. Tuombee pia tupate
 
Habari wakuu hivi kama umeitwa kwenye interview utumishi na una namba ya nida tu .Je unaweza kwenda na barua ya serikali za mitaa ikakubalika? Nawasilisha wana Jf
Wanapokea barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa
 
Back
Top Bottom