Mkuu, usiniambie hata katika maisha ya kawaida huwezi juwa mtu anayekuchimba! Wale jamaa hawakuwa na cha kazi wala nini, walikuwa na lengo la kuangalia strengths na weakness za competitors wao! by the way ukisema AM NO BODY, utakuwa unakosea sana ingawaje hilo ndio tatizo letu wabongo!!! my spirit ni kwamba, whenever i work, i take the company as mine no matter wht! Lakini unasema am no body to judge someone, wakati mwenyewe unanijaji kwamba am no body!!! wht nikikuambia the company i was working is our family company but i'd to look for other opportunities(puting into consideration mambo kama ya opportunity costs)?!