wadau habari zenu. napenda kuuliza mwenye kufahamu written interview za tpdc hasa kwa upande wa store officer zimekaa vp. pia nauliza km wanafanya pepa mchanganyiko km vile maths; english na proffesion. asanten
nimeuliza tu na c kila anayeuliza anataka kudesa..; kujiamini najiamini sn kwan uwezo ninao tatizo nataka angalau kupata picha ya interview ili nijikumbushe kiaina coz ni mda tangu nimalize chuo
Ndugu kuwa makini, hapa nilipo nina tangazo hilo la Call for Interview lililotoka kwenye gazeti la Habarileo na Tanzania Daima, STORES OFFICER II tarehe ya Interview ni tar 30/10/2013 saa 8:00 Asubuhi. Venue ni Msimbazi Center Ilala.