Interview TPB: Naombeni mnisaidie aptitude test

Kwenye test ya mwaka jana
waliita interview kama sijakosea watu 1800
Selection criteria ilikua ni hiyohiyo aptitude test? Na je walichukua kuanzia pass zip hadi zip? Nina dogo hapa hana access na net ila kaitwa so niko namtafutia details
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…