Dead line 28 oct alf leo waite leo?
importantly ni simu kuwa hewani ol z times.tulieni!Ndugu hayo yote siyajui ndo mana nimeomba kujulishwa, nways kwani huwa wanakaa siku ngapi from deadline ndo waite watu?
Ndugu hayo yote siyajui ndo mana nimeomba kujulishwa, nways kwani huwa wanakaa siku ngapi from deadline ndo waite watu?
Una uzoefu wa kazi za migodini? Maana walisema waajiriwa wote lazima wawe na uzoefu huo!
Labda baada ya pasaka!!! maana hawana haraka kama uliyo nayo wewe,hebu jifanyie mambo mengine kwa sasa maana watu humu hamlali usingizi mnawaza tu stamico na pccb sijui kuna nini huko
hawakusema ni lazima, bt walisema ni added advantage.