Interview SSRA

Interview SSRA

ikersmn

Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
18
Reaction score
16
Habari wakuu, nlikua naomba msaada kidogo, hivi hizi interview za serikali za written znakuwa vipi kwa wale mliokwisha fanya?? Mfano ssra..
 
Unakuwa unapewa tu maswali ya kawaida simple math,eng structure kidogo na ya elimu ya uraia kidogo mfano anaeza kukuuliza labda utaje maraisi wa east africa au mlima kilimanjaro una urefu gani au waziri wa afya ni nani, nk na mm pia nimeitwa hiyo tar 5 jmosi post ya management information systems II.
 
Unakuwa unapewa tu maswali ya kawaida simple math,eng structure kidogo na ya elimu ya uraia kidogo mfano anaeza kukuuliza labda utaje maraisi wa east africa au mlima kilimanjaro una urefu gani au waziri wa afya ni nani, nk na mm pia nimeitwa hiyo tar 5 jmosi post ya management information systems II.

mkuu mim pia nimeitwa nafas hyo tumeitwa kama 176 hvi.
 
mkuu mim pia nimeitwa nafas hyo tumeitwa kama 176 hvi.

Hahahaha kumbe tupo wengi wa IT twende tukapambane hiyo Jmosi saa tatu asubuhi.Pole kama unatokea mkoani then unakuja Dar kwa shortlist ya watu 176 ni hatari lakini kwa sisi wakazi wa Dar si mbaya kwenda kujaribu
 
Hahahaha kumbe tupo wengi wa IT twende tukapambane hiyo Jmosi saa tatu asubuhi.Pole kama unatokea mkoani then unakuja Dar kwa shortlist ya watu 176 ni hatari lakini kwa sisi wakazi wa Dar si mbaya kwenda kujaribu

Mimi natoka mkoani ila nimeitwa mara mbili na za e-governancy agency na ndio maana sijaona uzito kufika. Mkuu naomba kesho nitafute ktk 0768277927 maana ni mgeni so nisije nikapotea mpaka kuipata sehemu muda umepita, ndio niko njiani nakuja daslam.
 
Mimi natoka mkoani ila nimeitwa mara mbili na za e-governancy agency na ndio maana sijaona uzito kufika. Mkuu naomba kesho nitafute ktk 0768277927 maana ni mgeni so nisije nikapotea mpaka kuipata sehemu muda umepita, ndio niko njiani nakuja daslam.


kwani Dar sio mkoa?
Ukiulizwa Tanzania ina mikoa mingapi kesho utajibuje?
 
Back
Top Bottom