Interview SIDO Business development officer

Interview SIDO Business development officer

oleoju

Member
Joined
Jul 28, 2014
Posts
66
Reaction score
8
Habari wanajamvi,nimeitwa kwenye interview na SIDO itakayofanyka tarehe 7/2/2015,kwa mwenye idea ya maswali wanaouliza hawa watu naomba mnisaidie wadau natanguliza shukran zangu kwenu asante.
 
Jiandandae kwa ajili ya aptitude test, soma na uijue vizuri hiyo organization(SIDO), na pia jiandae kwa ajili ya maswali yanayohusu professional yako.
 
hayo niliyoandika hapo juu ni kwa ajili ya written interview, sasa siju wewe umeitwa ipi maana hujawa specific.
 
nimeitwa kwa ajili ya writen interview itakayofanyka CBE next week
 
Na mimi niliapply ila sijaitwa, walikupigia simu au wamebandika majina? au km kuna link yeyote waliyoweka majina plz tuhabarishe tujiangalie
 
Back
Top Bottom