Mambo vip wakuu? ebwana naombeni mnijuze coz nilifanya interview EFGPF hapo ubungo plaza kama wik 2 hivi zimepita lkn naona kimyakama kun a mtu anayejua kinachoendelea naomba anijuze coz hizi taasisi za serekali unaweza fanya usaili leo ukaitwa baada ya miezi kadhaa kupita.Naomba kuwakilisha wakuu
nijuze
nijuze