Habari wana jf, naombeni msaada wenu, mimi ni mmojawapo ya walioitwa kwa ajali ya aptitude test pspf, japo jina langu limejirudia kama mara 3 alafu adress tofauti naendelea kujipa moyo,
naomba anaejua a.test zao zinakuwaje naomba anijuze tafadhali, kwani ni mara ya kwanza kufanya a.test.UNAWEZA KUNI PM