Yeyote mwenye taarifa yoyote kuhusiana na usaili wa nafasi zilizotangazwa na pccb wiki kadhaa zilizopita naomba tujulishane maana binafsi sijasikia chochote hadi sasa baada ya muda wa kutuma maombi kupita.
wewe, sikuizi hatuiti tunawachunguza kwanza uko uko mliko kuna watu wameisha tumwa kuwachunguza sasa ukutwe ni kikojozi itakula kwako.
Sijui hapa umemaanisha nini lakini nimejikuta nacheka tu yani
Mbona mnawatisha watu?Sasa kama watu walioomba wapo 10000 kwahiyo watachunguzwa wote huko huko?At least ungesema waliofaulu usaili ila kinyume na hapo ni porojo.
Tusubiri hiyo july lakin ukipitia website yao kuna kitu kinaitwa mkataba kwa mteja ambapo wanaeleza kuw mwez mmoja baada ya deadline ya maombi inapaswa waitishe interview
Yeyote mwenye taarifa yoyote kuhusiana na usaili wa nafasi zilizotangazwa na pccb wiki kadhaa zilizopita naomba tujulishane maana binafsi sijasikia chochote hadi sasa baada ya muda wa kutuma maombi kupita.
Mkuu wewe uliomba ile kazi mbona vigezo vilikuwa vigumu sana?? maana haya mambo ya kuwa na cheti cha primary school naona kilinishinda maana mimi niliishia darasa la sita nikaendaga sekondary
Mkuu wewe uliomba ile kazi mbona vigezo vilikuwa vigumu sana?? maana haya mambo ya kuwa na cheti cha primary school naona kilinishinda maana mimi niliishia darasa la sita nikaendaga sekondary
Mkuu wewe uliomba ile kazi mbona vigezo vilikuwa vigumu sana?? maana haya mambo ya kuwa na cheti cha primary school naona kilinishinda maana mimi niliishia darasa la sita nikaendaga sekondary