Poleni sana kutokana ukweli kwamba operation ya kutoa watumishi hewa mikopo mingi hailipiki kutokana na watu kusimamishiwa mishara yao. Hivyo imepelekea bank kupata hasara. Hivyo kuongeza wafanyakazi ni kuongeza ghalamanyingine za uendeshaji hivyo kupunguza faida. Tutaonana mda mwingine huu upepo ukipita.