eribedama Senior Member Joined Oct 29, 2014 Posts 114 Reaction score 78 Jan 19, 2015 #1 Kuna List ya majina ya baadhi ya watahiniwa walioitwa kwa Interview ya Off Grid Au Mpower Solar Energy kwa jina kingine. Kama kuna mwenye ufaham hua wnauliza maswali gani kwenye Interview zao na kwenye Panel.wanakua watu gani. Thanks.
Kuna List ya majina ya baadhi ya watahiniwa walioitwa kwa Interview ya Off Grid Au Mpower Solar Energy kwa jina kingine. Kama kuna mwenye ufaham hua wnauliza maswali gani kwenye Interview zao na kwenye Panel.wanakua watu gani. Thanks.
M mr brill Member Joined Jan 2, 2015 Posts 23 Reaction score 4 Jan 19, 2015 #2 Kwanza utarudia test uloifanya
M mr brill Member Joined Jan 2, 2015 Posts 23 Reaction score 4 Jan 19, 2015 #3 Utarudia rest ulofanya online, ole wako upate below ya uliyopata mwanzo bila calculator n cheating
M mr brill Member Joined Jan 2, 2015 Posts 23 Reaction score 4 Jan 19, 2015 #4 Then utafanya panel discussions, hapo wataangalia participation.
M mr brill Member Joined Jan 2, 2015 Posts 23 Reaction score 4 Jan 19, 2015 #5 Utamalizia oral, nifate onbox for more
eribedama Senior Member Joined Oct 29, 2014 Posts 114 Reaction score 78 Jan 20, 2015 Thread starter #6 Ahsanteni wakuu, but yale.maswali ya Marhematics yale.ndo patakua oagum pale bila Caluculator. Duuuuh! I hope i will make it.
Ahsanteni wakuu, but yale.maswali ya Marhematics yale.ndo patakua oagum pale bila Caluculator. Duuuuh! I hope i will make it.
eribedama Senior Member Joined Oct 29, 2014 Posts 114 Reaction score 78 Jan 20, 2015 Thread starter #7 Na malipo yao ni kiasi gani? Wanalipa vizuri ama ni kama wale wavietnam wa Viettel na kamouni yao.ya simu.
Na malipo yao ni kiasi gani? Wanalipa vizuri ama ni kama wale wavietnam wa Viettel na kamouni yao.ya simu.
Risk manager JF-Expert Member Joined Mar 21, 2014 Posts 8,807 Reaction score 17,358 Jan 24, 2015 #8 mr brill said: Utarudia rest ulofanya online, ole wako upate below ya uliyopata mwanzo bila calculator n cheating Click to expand... Kaka malizia dozi yote hapa please
mr brill said: Utarudia rest ulofanya online, ole wako upate below ya uliyopata mwanzo bila calculator n cheating Click to expand... Kaka malizia dozi yote hapa please
Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,082 Reaction score 2,354 Feb 14, 2015 #9 eribedama said: Na malipo yao ni kiasi gani? Wanalipa vizuri ama ni kama wale wavietnam wa Viettel na kamouni yao.ya simu. Click to expand... jamaa yupo probation ya miezi mitatu,alnambia wanampa laki 5 kama take home,cjajua sasa akimalza hyo probation atakua anadaka ngapi.
eribedama said: Na malipo yao ni kiasi gani? Wanalipa vizuri ama ni kama wale wavietnam wa Viettel na kamouni yao.ya simu. Click to expand... jamaa yupo probation ya miezi mitatu,alnambia wanampa laki 5 kama take home,cjajua sasa akimalza hyo probation atakua anadaka ngapi.
fixit KEM Member Joined Oct 26, 2014 Posts 89 Reaction score 64 Feb 17, 2015 #10 unafanyia wapi mkuu............na mimi nimo