Msaada tena nimeitwa na vodacom kwa post ya customer care kesho saa 4 asubuhi erolink moroco. Km yupo tulieitwa nae humu tuwasiliane na kwa yeyote aliewahi kufanya interview nao hawa jamaa anisaidie interview zao zipoje(oral or written) na maswali gani labda nitarajie kwenda kukutana nayo kwa post yao hiyo.