Interview Eastern Zone NMB

Hivi wameanza kuita? Me pamoja na ninaowafahamu hamna aliyeitwa hadi sasa

wamepiga simu kuwataarifu waliofanikiwa kupass kwenye written. wamesema watatuma sms ili kutoa taarifa kuhusu siku ya oral interview.
 
Mimi nimepigiwa simu kwa ajili ya second interview lakn inabidi nisubirie msg ndio itatumwa kuelekeza ni siku gan kwa ajili ya oral interview.
 
Hebu tuabarisheni mliopigiwa kwa oral interview vipi ilishafanyika?
 
Bravo English una maanisha fdback ni dis week?

Yeeeah this wk mdau Katrina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…