new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 815
- 1,713
.
OK ntaenda ila najiuliza wamepata wap my CV na my contacts
Habari zenu wandugu? Nikwamba nimeitwa interview kampuni ya smile katika position ya executive sales manager! Lakini cha kushangaza sikuwahi tuma CV yangu pale Sasa nashindwa elewa je ni magumashi au vp? Na interview inafanyika ijumaa kwenye jengo ambalo wame lease pale karibu na makao makuu ya zantel
itakuwa imetumwa na watu uliofanya nao intavuu ambao wanamahusiano nao..
Hao wapo chini ya erolink...post ni sales executive...na sio sales executive manager maana hakuna hiyo title ...sales manager yupo so unaweza kuwa direct sales au indirect sales...
uwe tayar na practicle interview..
Unaweza ambiwa uza hiyo modem au simu....
All the best
Hao wapo chini ya erolink.utapewa mkataba wa erolink,so kua makini
Hao wapo chini ya erolink.utapewa mkataba wa erolink,so kua makini