Internet shutdown? Yo this is poor madness on steroids

Dunia yote inamshangaa huyu mama kwanini ameshinda kwa kishindo alafu haya yote yanatokea?🤣
Halafu kuna watu wenye akili timamu na wasomi kabisa wapo kimya tu wanaangalia tu nchi inavyozamishwa. Yani leo 🇹🇿 haina tofauti na Zimbabwe ya enzi za Mugabe.
Tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele wazee wa nchi hii wanaangalia tu.
 
Hii serikali iliyojiteua simply can not handle the pressure. They are very coward individuals. Ukiwaona unaweza fikiri ni watu smart sana kumbe ni weupe sana upstairs
 
Kuna mstaafu mmoja jana aliniambia mtandao unaweza zimwa muda wowote
 

Safari hii wamepanga wakizima mtandao na kuanza kufanya yao, kuzunguka nyumba kwa nyumba na kukusanya simu za watu au kuzivunja pale pale. Hiyo ndiyo level yao ya kufikiri ilipo.

Sioni uwezekano wa hawa viumbe kutupitisha salama katika huu mtanange. Naona kabisa hali inaenda kuwa mbaya mno.

Lazima UN intervention itahitajika ila watu wengi watakuwa wameumia mno.
 
Wanaogopa nini wakati wamechaguliwa na 98% ya watanzania wote.
Wamefungia X, wamefungia tik tok na jamii forums. Bado mtaani uhuru wa kuzungumia serikali haupo.
Watu wananungunikia moyoni kwa sababu ya kuogopa kukamatwa na polisi au kutekwa.
Hatari sana.
 
Halafu kuna watu wenye akili timamu na wasomi kabisa wapo kimya tu wanaangalia tu nchi inavyozamishwa. Yani leo 🇹🇿 haina tofauti na Zimbabwe ya enzi za Mugabe.
Tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele wazee wa nchi hii wanaangalia tu.
Wanaogopa kikundi flani toka Z'bar kilichopewa mamlaka ya kumpoteza yeyote atakayekuwa tofauti na huyu mnayemwita mama. Tumefikia sehemu mbaya sana kama taifa
 
Nilikuwa nakuona una masihara sana lakini huu ushauri wako unaweza kuwa mshauri wa Ikulu
Huo ushauri hawautaki wanachoka ni kuambiwa guys guys you know guys listen guys.. fuuuuuuuuck you guys who is guys? Grown men never should bite their tongue.. tell them
 
Tanzania deserves better.
Watu wake wanastahili better.
Na generation ya sasa we see EVERYTHING.
I read you and commiserate with you!

May be the head of the fake government is an ignorant idiot; but how about the likes of the so called professors and Ph.D. holders in the same fake government? The Kitila Mkumbos; Kabuti Kalamagandas; Madilu Nchembas, etc; etc. who act as if they.re puppets played by a puppeteer.

We had governments before the advent of the internet, very honest governments working for the people!

So I refuse to accept tjhe notion that the internet somehow makes the type of leaders we have seem to be semigods. It is my submission to you that even during the age of the artificial intelligence revolution, which is already unveiling its head right before our eyes; such lunatic leaders will still be around; and it will be the duty of every straight thinking person to ensure their rejection.
 
Mbona kama watakuwa wajinga sasa😂
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…