Inspirational story: Raphael Logistics, largest heavy lift company in Tanzania

shaurimbaya

JF-Expert Member
Oct 3, 2013
1,915
2,325
Habari wadau...

Ni vizuri tukawa tunashare inspirational stories kwa ajili ya kujipa nguvu katika utafutaji..

Binafsi nimefanya kazi kwenye logistics company kubwa tu hapa tz kwa miaka mingi... bollore africa logistics, na hii imenikutanisha na stake holder wengi sana wa logistics industry nchini..

Na katika key people wanaoplay part kubwa kwa kutoa huduma zinazoisapoti industry yetu Isonge mbele ni kampuni ya Mr Raphael Tesha , mchaga, x forklift driver by proffessional with more than 10 yrs experience kama fork lift driver yeye mwenyewe... na baadae CEO and founder wa raphael logistics tanzania limited.. ambayo aliianzisha baada ya kuacha kazi ya kuajiriwa pale AMI miaka kazaa iliyopita.

Kiukweli jamaa ameniinspire sana baada ya kuona huduma yake, vifaa vyake, na hata performance yake kwenye mikataba. na nilivyosikia ni darasa la saba tu.

kwa haraka haraka ana crane zisizopungua 20, trucks za transit na local za kumwaga, na kuajiri watanzania zaidi ya 100...

kwa mnaomjua zaidi ni vizuri mkashare siri ya mafanikio ya huyu jamaa ili nasi vijana tujifunze zaidi kutoka kwake..

Maana nimeona heavy lifters trucks
zake mpya ambazo zinashusha container kwa remote control kama mtoto anacheza game nikaogopa kwa kweli kuambiwa jamaa anaemiliki ni la saba tu.

Dereva anakuja alone tu anashuka kwenye gari lake na ki remote tu unamuenesha container la kushushwa au kupakiwa... yeye analicheki na anaanza kulishusha au kulipakia kwa remote yake tu akiwa chini hii ni hatari kwa kweli...

Ni vizuri vijana tujifunze kutoka kwake jinsi ya kujiajiri kwa mafanikio kuliko kuilalamikia serikali tu kila siku. darasa la saba kuajiri graduates ni aibu sana kwa kweli na inaonesha chuo kikuu tunafata ma bundle ya chuo tu sio kuelimika

ana mikataba kila sehem , ticts, tpa, tanesco, bollore, scania, mantrac na bandari kavu zote nchini, migodini etc... inaonesha watu wanakubali kazi zake ni bora...

ni kijana mwenye miaka 37 kwa sasa... mzaliwa wa 1979 huko moshi... ana utajiri unaokisiwa kufikia bilion 50.

vijana wa mjini hii motivation kwetu why wakuja wanakimbiza. na wasomi pia hii ni motivation why tunaowazidi elimu wanatukimbiza..

miaka 37 ya msomi wa chuo kikuu bado anatumwa tumwa tu ofisini anasubiri kutumbuliwa jipu, bado amepanga nyumba, bado anashindwa saidia ndugu zake sabab mshahara mdogo, hii ni aibu.

Raphael Tesha: a true entrepreneur from the very beginning was born in Moshi on February 12th, 1979.


After secondary school, he started his professional career by becoming a forklift operator. He was soon recognized as a very skilled operator and became also operator on other equipments such as bobcat and low tonnage cranes.


Then he decided to use his professional skills in its own company and started his business by saving money to invest in a first 3 tons forklift to be put on hire. His success was on its way, adding soon a second forklift on hire after 6 months. The combination of hard work, entrepreneurship initiatives and bank financial support allowed him to extend his fleet year after year and to employ over 120 people as of now.
 
Nashukuru mkuu kwa kuileta hii thread.

Nikienda kazini huwa naziona sana gari zake na siku za mwanzoni nilijua ni kampuni ya kigeni (wazungu).

Kuna siku nilikuwa napita sehemu nikasikia watu wakiizungumzia hii kampuni. Nilichokinasa ni kuwa ni ya Mswahili Mchaga nikataka niifahamu zaidi.
 
jamaa yupo vizuri binafsi nimeshawahi kushusha containers zangu pale ofisini kwake barabara ya external kuelekea tabata sijui ndo mnaita makuburi....
 
sisi tunabaki kubishania tu home shopping centre halipi kodi, mara lugumi mkataba sijui.. muda wote mabishano tu vijiweni na masters zetu na phd... darasa la saba ndio wanaajiri watoto wetu, wake zetu na baadhi yetu tunaotukuza vyetu bila upeo

Mtu unajisifia una GPA Kali au Masters wakati hata kuanzisha Genge unaogopa.
 
haina uhusiano wowote. raphael logistics imeanzisgwa na inamilikiwa na raphael tesha pamoja na mke wake.. na ameipa jina lake raphael yeye mwenyewe... kwa info zaidi soma website yake kwenye link.. story yake...

na aliajiriwa kama fork lift driver Ami kwa miaka kazaa kabla haja resign na kujiajiri

shaurimbaya

hii kampuni ina uhusiano na Raphael logistics ya Marekani?

iliyopo Tz sio branch?
 
so forklift driver ni kigezo ya kuwa maskini milele? why na wewe usifanye ulugumi kazini kwako??

tusiwaze negative tu.. mazuri tuyasifie.. kama una data zake mbaya share nasi tumjue.. kama huna data mbaya msifie tu kajitahidi, kwanza kuajiriwa tu sdv Ami kama fork lift driver sio shughuli nyepesi.. mzungu haajiri mwehu hata siku moja.. hata kama huna vyeti hadi kampuni kubwa ya kigeni ikuajiri ni una kitu kizuri kichwani.. na kuonesha tofauti akaendesha forklift, cranes, bobcats na ma heavy lifters yote kabla hajaacha kazi na kujiajri.. jamaa ni jembe inshort

Haya, naona Lugumisation inaendelea. Unasema alikuwa fork lift driver juzi juzi na sasa ana billion 50?! Tutajua tu kama chanzo ni kujituma au kafanya u-Lugumi huko TPA.
 
Hiyo ni sawa, lakini ni sawa na kusema mtu ajaze tanker la mafuta kwa kisoda kwa siku 1 alafu useme anajituma bila kuweka doubt
 
sina chochote outsanding cha kuhadithia ndio maana nimeguswa na niliowazidi elimu wanavyofanya makubwa maishani.. na kuwapa motivation hata wengine tusikate tamaa kujaribu.

Hii story ngeileta mwenyewe ingependeza...tungemuuliza maswali nk nk.

Mi nadhani utuelezee ya kwako inaweza kuwa inspirational zaidi kuliko hii ya kutuhadithia.
 
haiwezekani siku moja.. ameacha kazi ya kuajiriwa zaidi ya miaka 10 iliyopita. hata wakati anaanzisha kampuni yake alikuwa na forklift moja tu na dereva alikuwa yeye mwenyewe. kukodi huduma ya forklift ndogo tu ya tani 3,,kwa bei ya sasa ni laki 2 kwa 2 hours... ( minimum hours ni 2 hours tu, so hata kazi ya dk 5 unalipia 2 hours) so kama ni dereva mzuri na una network ya wateja why usitajirike???

Hiyo ni sawa, lakini ni sawa na kusema mtu ajaze tanker la mafuta kwa kisoda kwa siku 1 alafu useme anajituma bila kuweka doubt
 
haiwezekani siku moja.. ameacha kazi ya kuajiriwa zaidi ya miaka 10 iliyopita. hata wakati anaanzisha kampuni yake alikuwa na forklift moja tu na dereva alikuwa yeye mwenyewe. kukodi huduma ya forklift ndogo tu ya tani 3,,kwa bei ya sasa ni laki 2 kwa 2 hours... ( minimum hours ni 2 hours tu, so hata kazi ya dk 5 unalipia 2 hours) so kama ni dereva mzuri na una network ya wateja why usitajirike???
Haya, ila nikisikia TPA huwa nanusa harufu flani hivi
 
habari wadau...

ni vizuri tukawa tunashare inspirational stories kwa ajili ya kujipa nguvu katika utafutaji..

binafsi nimefanya kazi kwenye logistics company kubwa tu hapa tz kwa miaka mingi... bollore africa logistics, na hii imenikutanisha na stake holder wengi sana wa logistics industry nchini..

na katika key people wanaoplay part kubwa kwa kutoa huduma zinazoisapoti industry yetu Isonge mbele ni kampuni ya Mr Raphael Tesha , mchaga, x forklift driver by proffessional with more than 10 yrs experience kama fork lift driver yeye mwenyewe... na baadae CEO and founder wa raphael logistics tanzania limited.. ambayo aliianzisha baada ya kuacha kazi ya kuajiriwa pale AMI miaka kazaa iliyopita.

kiukweli jamaa ameniinspire sana baada ya kuona huduma yake, vifaa vyake, na hata performance yake kwenye mikataba. na nilivyosikia ni darasa la saba tu.

kwa haraka haraka ana crane zisizopungua 20, trucks za transit na local za kumwaga, na kuajiri watanzania zaidi ya 100...

kwa mnaomjua zaidi ni vizuri mkashare siri ya mafanikio ya huyu jamaa ili nasi vijana tujifunze zaidi kutoka kwake..

maana nimeona heavy lifters trucks
zake mpya ambazo zinashusha container kwa remote control kama mtoto anacheza game nikaogopa kwa kweli kuambiwa jamaa anaemiliki ni la saba tu.

dereva anakuja alone tu anashuka kwenye gari lake na ki remote tu unamuenesha container la kushushwa au kupakiwa... yeye analicheki na anaanza kulishusha au kulipakia kwa remote yake tu akiwa chini hii ni hatari kwa kweli...

ni vizuri vijana tujifunze kutoka kwake jinsi ya kujiajiri kwa mafanikio kuliko kuilalamikia serikali tu kila siku. darasa la saba kuajiri graduates ni aibu sana kwa kweli na inaonesha chuo kikuu tunafata ma bundle ya chuo tu sio kuelimika

ana mikataba kila sehem , ticts, tpa, tanesco, bollore, scania, mantrac na bandari kavu zote nchini, migodini etc... inaonesha watu wanakubali kazi zake ni bora...

ni kijana mwenye miaka 37 kwa sasa... mzaliwa wa 1979 huko moshi... ana utajiri unaokisiwa kufikia bilion 50.

vijana wa mjini hii motivation kwetu why wakuja wanakimbiza. na wasomi pia hii ni motivation why tunaowazidi elimu wanatukimbiza..

miaka 37 ya msomi wa chuo kikuu bado anatumwa tumwa tu ofisini anasubiri kutumbuliwa jipu, bado amepanga nyumba, bado anashindwa saidia ndugu zake sabab mshahara mdogo, hii ni aibu

About Us | raphael logistics
Wewe nawe liongo likubwa, utasemaje jamaa ni darasa la saba wakati kwenye profile ya kampuni yake anasema baada ya elimu ya sekondari alikuja mjini kama mwajiriwa kwa kuendesha mashine nzito nzito? Au siku hizi sekondari ni darasa la saba?
 
Huyu Jamaa alipoanzisha hiyo kampuni yake, alikuwa anatumiwa kama "middleman" wa SDV TransAmi kuhusu mambo ya forklift na vibarua.

Kipindi icho SDV alikuwa na contract za nguvu na Voda, Tigo pamoja na Huawei.

Kwa hiyo Jamaa akawa ana supply forklift (na zinalipiwa kwa masaa kwa rate za dola) pamoja na vibarua.

Ameanza kutokea chini kabisa, na ninaweza kukiri kuwa juhudi zake ndizo zimemfikisha hapo.

Hii ni changamoto kwa wasomi wa Tanzania ambao hata kufungua workshop ya kutengeneza milango ya majumbani wanajiuliza.

Workshop ya milango ya majumbani ukiwa na mtaji wa 2-2.5 mil unaweza kufungua. Ila kwa sababu wewe "umesoma" unaona kinachokufaha ni kuajiriwa na wahindi tu.
 
elimu ya sekondari ni form 4, sidhani kama ana cheti cha form 4, na kwa levo aliyofikia sizan kama ni sahihi kujiandika kwenye profile yake yeye aliishia primary education. uzuri hata ukidanganya umeishia form 2 hakuna wa kukutrace sabab hakuna cheti chochote kinachotambulika..

nilichoandika ndicho nilichosikia kwa wafanyakazi wenzake aliofanya nao kazi wakati ameajiriwa na bado wapo sdv ( kwa sasa inaitwa bollore africa logistics)

h.r mwenyewe pale sdv alikuwa anatutania raphael la saba tu ila anafanya makubwa nyinyi na degree zenu ubishoo tu.. na hata records zake anakuonesha.

pamoja ni la saba jamaa ameshawai kuwa employee of the year sdv miaka hiyo. kwenye safety na quality kapata sana awards.. hajawai kuangusha mzigo wowote ukapata damage for years. mwajiri alimpenda kwa umakini wake na hata alipoanzisha kampuni yake alipewa tenda fasta na x mwajiri wake

Wewe nawe liongo likubwa, utasemaje jamaa ni darasa la saba wakati kwenye profile ya kampuni yake anasema baada ya elimu ya sekondari alikuja mjini kama mwajiriwa kwa kuendesha mashine nzito nzito? Au siku hizi sekondari ni darasa la saba?
 
Back
Top Bottom