kj75
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 491
- 590
Jamani kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, Kuna interview imefanyika eneo x Leo hii ya wa kwenda jkt. Sasa kulingana na sifa za dogo sisi Kama Wana ndugu hatukuweza kuwa na muda wa kusema dogo tumfaitie dogo Ili aende,tukajua atapasua
Maana kigezo Cha umri ndo Kwanza ana miaka 20 net ana namba ya nida pia vyeti vya kuzaliwa na academic Kiko vizur sasa tukamwambia nenda kapige maana Kuna mtu alituma maswali humu nikachukua nikampa akameza kweli alivyofika wakamuuliza maswali mawili kati ya Yale naimani amejibu vizuri.
Ila wametema Sasa hyo ni ngazi ya wilaya Sasa Kuna mtu anasema dogo aende mkoani je Kwa ujuzi wa haya mambo akienda mkoani atafanikiwa ?? Ni kuharibu nauri na muda?
Maana kigezo Cha umri ndo Kwanza ana miaka 20 net ana namba ya nida pia vyeti vya kuzaliwa na academic Kiko vizur sasa tukamwambia nenda kapige maana Kuna mtu alituma maswali humu nikachukua nikampa akameza kweli alivyofika wakamuuliza maswali mawili kati ya Yale naimani amejibu vizuri.
Ila wametema Sasa hyo ni ngazi ya wilaya Sasa Kuna mtu anasema dogo aende mkoani je Kwa ujuzi wa haya mambo akienda mkoani atafanikiwa ?? Ni kuharibu nauri na muda?