Made in wapi??
Mchina ndiyo,kwani kuna tatizo?hii ni itel full mchina kama G-TIDE tu
Mchina ndiyo,kwani kuna tatizo?
Duh! Nina wasiwasi kama hii android mchina hajachakachua....
Una haki ya kukaa kimya unapokuwa hujamwelewa mtu!Mkuu amdroid si ni open source software? Haina haja ya kuchakachua.... Linux haiuzwi
Muulize aliekuuzianimeitumia nina week ya tatu sasa, ila imezima nikichaji haingizi moto, nikiwasha haiwaki! kuna tatizo gani wadau?
Mchina anatoa cm nzuri tu angalieni baadhi ya cm original Kama Samsung Nokia nk. Ni mchina
kaka ukijua process ya utengenezaji smartphone utaelewa vizuri haya mambo.
tuchkulie mfano nokia ana kiwanda china anatengeneza simu kaagizia material yafuatayo
1. material A
2. material B
3. material C
4. material D
hayo material ni ya display, mother board na vifaa vyengine vya simu.
material A nokia akatumia asilimia 80 tu ile asilimia 20 ika expire, material B yakawa chini ya kiwango nokia akayakataa, material C yaliachwa sababu material bora yamegundulika ambayo ni mazuri zaidi, material D yata expire soon nokia akaamua ayauze kwa bei rahisi
situation hizo hapo juu zinafanya manufacture uchwara wapate material kwa bei rahisi na hivyo kutengeneza simu ambazo zipo chini ya kiwango.
simu kama tecno itel sijui celkon wao hawatengenezi bali kuna kampuni zinatengeneza wao wanabandika majina tu ntawapa na ushahidi badae kidogo.
so kama simu imetengenezwa china inabidi atleast ufatilie nan kaitengeneza viwanda vya nokia, samsung, foxcon vyote vinaaminika ni tofauti na wengine
update ushahidi wa hizi simu za kichina
hapa natoa simu kama tano hivi muangalie mwenyewe
techno phantom a1
![]()
bedove hy
![]()
zopo zp
![]()
star x
![]()
umi s1
![]()
sifa za simu zote 5
1.zina camera inayoonekana umbo la duara kwa nyuma na flash kwa pembeni angalia vizuri umbo la camera kwa nyuma zinafanana zote.
2. spika ipo kwa chini
3. zote zina kioo inch 5
4.zote resolution ya kioo ni 720p
5. zote zina camera 8mp
6. zote zina ram 1gb
7. zote zinatumia processor ya mediatek mt6589 quadcore
8.zote internal memory ni 4gb
9. zote jelybean 4.2
10.zote ukizigeuza kwa pembeni utaona camera ina kama katuta (camera hump)
je mnafikiri ni coincidence kutokea hizi simu zinafanana kila kitu?
why hizi simu haziuzwi ulaya na marekani?
naamini we ni mtu mzima na una akili ya kufikiria
kaka ukijua process ya utengenezaji smartphone utaelewa vizuri haya mambo.
tuchkulie mfano nokia ana kiwanda china anatengeneza simu kaagizia material yafuatayo
1. material A
2. material B
3. material C
4. material D
hayo material ni ya display, mother board na vifaa vyengine vya simu.
material A nokia akatumia asilimia 80 tu ile asilimia 20 ika expire, material B yakawa chini ya kiwango nokia akayakataa, material C yaliachwa sababu material bora yamegundulika ambayo ni mazuri zaidi, material D yata expire soon nokia akaamua ayauze kwa bei rahisi
situation hizo hapo juu zinafanya manufacture uchwara wapate material kwa bei rahisi na hivyo kutengeneza simu ambazo zipo chini ya kiwango.
simu kama tecno itel sijui celkon wao hawatengenezi bali kuna kampuni zinatengeneza wao wanabandika majina tu ntawapa na ushahidi badae kidogo.
so kama simu imetengenezwa china inabidi atleast ufatilie nan kaitengeneza viwanda vya nokia, samsung, foxcon vyote vinaaminika ni tofauti na wengine
update ushahidi wa hizi simu za kichina
hapa natoa simu kama tano hivi muangalie mwenyewe
techno phantom a1
![]()
bedove hy
![]()
zopo zp
![]()
star x
![]()
umi s1
![]()
sifa za simu zote 5
1.zina camera inayoonekana umbo la duara kwa nyuma na flash kwa pembeni angalia vizuri umbo la camera kwa nyuma zinafanana zote.
2. spika ipo kwa chini
3. zote zina kioo inch 5
4.zote resolution ya kioo ni 720p
5. zote zina camera 8mp
6. zote zina ram 1gb
7. zote zinatumia processor ya mediatek mt6589 quadcore
8.zote internal memory ni 4gb
9. zote jelybean 4.2
10.zote ukizigeuza kwa pembeni utaona camera ina kama katuta (camera hump)
je mnafikiri ni coincidence kutokea hizi simu zinafanana kila kitu?
why hizi simu haziuzwi ulaya na marekani?
naamini we ni mtu mzima na una akili ya kufikiria
Anamaanisha hizo simu hao jamaa wamenunua kwa mtengenezaji moja wenyewe wakabandika tu majina yao bas hawana kiwandaDuuuh..
Mkuu, umeniacha njia panda (sio clouds fm jumapili saa 8 mpaka 10 mchana)
Yaani bila bila. Rudi tena mkuu.
Natamani kuelewa
Anamaanisha hizo simu hao jamaa wamenunua kwa mtengenezaji moja wenyewe wakabandika tu majina yao bas hawana kiwanda