GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
1. George Masatu
2. Godwin Aswile
3. Victor Costa
4. Nadir Haroub
5. Constantine Kimanda
6. Salum Swedi
7. Fikiri Magosso
8. Christopher Alex Massawe
9. Mustapha Hoza
10. Boniface Pawassa
11. Willy Martin
Tangia GENTAMYCINE niwaone Wachezaji ( Mabeki zangu tajwa hawa ) sikumbuki ni lini walikuwa wakicheza na Majukwaa, wakitafuta Sifa, wakiwa na Mambo ya Kitoto, Kipuuzi na Kujidekezadekeza kama Watoto wa Kike bali Wao walikuwa ni Watu wa Kazi na Kazi zao tuliziona Viwanjani na ndiyo maana hadi leo tunawakumbuka.
Inonga wenu asipobadilika baada ya Kupona na kuendelea na Upuuzi Upuuzi wake wa Sifa za Kijinga, Kitoto na kucheza na Majukwaa mwambieni ndiyo ataumia zaidi hadi Tanzania ataiona Chungu na atarudi Kwao kukata Viuno na Nduguze akina Koffi Olomide, JB Mpiana, Ngiama Makanda Werrason, Fally Ipupa na Ferre Gola.
Faulo ya Juzi angechezewa Mabeki ninaowakubali kwa sasa kama Mdogo wangu Mwenyewe wa Misufini Morogoro Dickson Job au Bakari Mwamnyeto au Ibrahim Baka au Chemalone GENTAMYCINE ningepaza Sauti kwa Kukemea, Kutetea na Kulaumu mno ila siyo kwa huyu Henock Inonga na wana Simba SC Wenzangu hapa JamiiForums mtanisamehe sana kwa hili.
2. Godwin Aswile
3. Victor Costa
4. Nadir Haroub
5. Constantine Kimanda
6. Salum Swedi
7. Fikiri Magosso
8. Christopher Alex Massawe
9. Mustapha Hoza
10. Boniface Pawassa
11. Willy Martin
Tangia GENTAMYCINE niwaone Wachezaji ( Mabeki zangu tajwa hawa ) sikumbuki ni lini walikuwa wakicheza na Majukwaa, wakitafuta Sifa, wakiwa na Mambo ya Kitoto, Kipuuzi na Kujidekezadekeza kama Watoto wa Kike bali Wao walikuwa ni Watu wa Kazi na Kazi zao tuliziona Viwanjani na ndiyo maana hadi leo tunawakumbuka.
Inonga wenu asipobadilika baada ya Kupona na kuendelea na Upuuzi Upuuzi wake wa Sifa za Kijinga, Kitoto na kucheza na Majukwaa mwambieni ndiyo ataumia zaidi hadi Tanzania ataiona Chungu na atarudi Kwao kukata Viuno na Nduguze akina Koffi Olomide, JB Mpiana, Ngiama Makanda Werrason, Fally Ipupa na Ferre Gola.
Faulo ya Juzi angechezewa Mabeki ninaowakubali kwa sasa kama Mdogo wangu Mwenyewe wa Misufini Morogoro Dickson Job au Bakari Mwamnyeto au Ibrahim Baka au Chemalone GENTAMYCINE ningepaza Sauti kwa Kukemea, Kutetea na Kulaumu mno ila siyo kwa huyu Henock Inonga na wana Simba SC Wenzangu hapa JamiiForums mtanisamehe sana kwa hili.