Ingekuwa wewe ungesema ni nani?

Ingekuwa wewe ungesema ni nani?

jujoka

Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
42
Reaction score
9
Wana JF hivi viongozi wote Tanzania wangewekwa MAISHA PLUS kina nani wangetolewa haraka na nani angeshinda na kwa nini?
 
Wana JF hivi viongozi wote Tanzania wangewekwa MAISHA PLUS kina nani wangetolewa haraka na nani angeshinda na kwa nini?
bila shaka we huna cha maana cha kufanya saa hizi, ila kama ni viongozi wa kisiasa nadhani atakaebaki mwisho, yaani mshindi ni Mnyika na wa kwanza kuwa evicted atakuwa Nepi Nahuyo! Ni mtazamo tu
 
Back
Top Bottom