Ingekuwa wewe ungefanya jee

Ingekuwa wewe ungefanya jee

Nyamuleha jr

Senior Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
185
Reaction score
65
Wapenzi hawa walio kuwa wamezoea kutaniana sana lakini siku hii ukweni ilikuwa nouma
mary alimpeleka mpenzi wake kwao aitwae john kumtambulisha akawasalimia wazazi vizuri sasa wakti wa maakuli sasa ilikuwa balaa mama alikuwa anapeleka msosi daining wakati huo john nampenzi wake wakinyanyuka kwa bahati mbaya john alijikwaha na kuanguka
mama mkwe akasema pole john mwanangu
mary kwakupayuka akasema mama haina haja ndiyo hvyo john akishaonaga chakula anachanganyikiwagaa
 
Chakula gani? Manake ni wengi tukiona ***** 2nachanganyikiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom