Benson chanzera
Member
- Mar 28, 2014
- 15
- 1
Mimi nafanya kazi kwa mwezi nalipwa ksh.3000.je ningekuwa Tz ingekuwa Tsh ngapi? Naomba kujua.
Kwa sasa Ksh tunainunua kwa tsh 19 hiyo ni sawa na 57, 000/-
Na maisha ya Nairobi yalivyo...mh...may be unaishi Kibera au mathare
Mimi nafanya kazi kwa mwezi nalipwa ksh.3000.je ningekuwa Tz ingekuwa Tsh ngapi? Naomba kujua.