Id zetu humu ndani tungeandika kwa mfumo wa kibrazil brazil, hebu tuone baadhi ya Id namna zingekuwa.
1. Kongosho~ Kongonho
2. Lizzy~ Lizznho
3. Invisible~ Invisinho
4. Nitonye~ Nitonho
5. Rev Masanilo~ Rev Masaninho
6. Mphamvu~ Mphanho.
7. Aspirin~ Aspirnho
Majina/Id nyingine ingekuwa vigumu sana kuitwa katika mfumo huo, mfano wake ni:-
First Lady, Mzee Mwanakijiji, FaizaFoxy, Maralia sugu, Rejao, BADILI TABIA na mengine mengi. Najaribu kuwaza tu.
1. Kongosho~ Kongonho
2. Lizzy~ Lizznho
3. Invisible~ Invisinho
4. Nitonye~ Nitonho
5. Rev Masanilo~ Rev Masaninho
6. Mphamvu~ Mphanho.
7. Aspirin~ Aspirnho
Majina/Id nyingine ingekuwa vigumu sana kuitwa katika mfumo huo, mfano wake ni:-
First Lady, Mzee Mwanakijiji, FaizaFoxy, Maralia sugu, Rejao, BADILI TABIA na mengine mengi. Najaribu kuwaza tu.