miaka 5 ya kikwete haijaisha,
wewe una lengo gani? unamtetea?
twambie wewe ugefanya nini?
mengi mazuri ya kikwete yapi alofanya?
hebu angalia kushoto kwako unaona nini hapo?
tumempa nchi ameshindwa, hotuba ya jana imejaa porojo, tangu mwanzo hadi mwisho neno ni moja ''mtikisiko wa uchumi''
hana jipya,
kwa hoja yako, akija kwangu na kunichagua kuwa rais:la kwanza kushughulikia ni kumfungulia mashtaka kwa kutowajibika kwa wananchi wake,