Ingekua wewe ungefanya nini?

Ingekua wewe ungefanya nini?

robin shango

Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6
Reaction score
1
Mko meza ya chakula mnapata dinner, ghafla simu inaita, ukapokea. Kila mtu amekaa kimya, halafu unajamba...
 
Ningeongea na cm na baadae ningekwenda msalani kuondoa janaba...
 
Mko meza ya chakula mnapata dinner, ghafla simu inaita, ukapokea. Kila mtu amekaa kimya, halafu unajamba...
Ningejamba ushuzi usionuka sana coz kuna watu lkn kama niko peke yangu, basi nawezatoa kijambo cha harufu Kali bila woga kwa sababu there will be no reason to fear as long as am just alone!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom