Nicas saguda
Member
- Jun 8, 2015
- 15
- 16
Kwa mwanamke ambaye anashindwa kupata ujauzito na amepimwa ultrasound akaonekana yuko salama apime vipimo vifuatavyo
1. prolactin hormone
2. thyroid stimulating hormone (T4)
3. sukari
4. HSG
5. Sperm analysis mumewe
Kwa mwanamke anayeshindwa kupata ujauzito moja ya sababu zinazopelekea mwanamke mwenye umri wakuzaa kutokuzaa nipamoja Na TB YA MFUKO NA MIRIJA YA UZAZI kapime haraka
Kama mwanaume anayeshindwa kupata mtoto Na Hana hamu ya tendo la ndoa
Akafanye vipimo vifuatavyo
1. Testosterone hormone
2.follicle stimulating hormone
Na atapata majibu na atakuwa salama kabisa
Mwanamke hata Kama ametoa kizazi lakin akabakiziwa mayai huyu anaweza akapata mtoto kwa njia yakupandiliza
Kupima saratani ya shingo ya kizazi nibure kwenye Vituo vyote vya kutolea huduma nchini main land and Zanzibar
Kansa inayoweza kutibiwa kwa urahisi kwa mwanamke inaitwa endometrial cancer
Na sababu zinazoweza kupelekea ukapata kansa hiyo ni pamoja na zifuatazo
1. Early menarche
2. Late menarche
3.obesity
4. PCOS
5. Exogenous unopposed estrogen
Mwanamke anapoanza kupata siku zake kabla ya miaka 12 na kumaliza siku zake katika miaka ya 50 huyu anaweza kupata hiyo aina ya saratani , lakin Ndio saratani pekee inayotibiwa kirahisi
Habari njema nikwamba kwa sasa hakuna mwanamke atakayeweza kushindwa kupata mtoto labda aamue mwenyewe njia nyingi Za kisayansi sasa zinaweza kumsaidia
Wanawake wanaotumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa ajili yakupanga uzazi habari njema nikwamba wanapata kinga kwa kuugua saratani ya mfuko wa mayai Yaan ovarian cancer
Mwanamke mjamzito mimba inapotimiza kuanzia miezi sita anaweza kuanza kusikia maumivu asiogope nikawaida tu ila yanapozidi atafute kituo chochote cha afya ahudumiwe
Mwanamke anayenyonyesha anaingia kwenye siku Za hatari wiki mbili mpaka nne baada ya kujigungua kwahiyo mwanamke anayenyonyesha anaweza kupata mimba hata kama haoni siku zake
Mda mzuri wakutaka kujua Kama mtoto wako hana tatizo lolote , fanya ultrasound mimba ikiwa na wiki 18-20
Tunaita ultrasound anatomy
Hakikisha unakutana Na mwenzi wako sio chini ya maratatu kwa wiki ikiwa unatafuta mtoto
Na Kama mwenzi wako yuko mbali mnakutana kwa mda maalumu
Waulize wataalamu wakupangie nisiku gani mhimu ambazo unaweza shika mimba
+255652580204
WHASAP only
HIV haiambukizwi kwa mate, kukohoa, Au kugusana mikono au kukaa pamoja
Jitahidi kabla hujashika mimba upime sukari , pressure na wingi wadamu ili kuepusha mtoto kuzongwa na ukuaji mbaya ambao kimsingi ungeepukika
1. prolactin hormone
2. thyroid stimulating hormone (T4)
3. sukari
4. HSG
5. Sperm analysis mumewe
Kwa mwanamke anayeshindwa kupata ujauzito moja ya sababu zinazopelekea mwanamke mwenye umri wakuzaa kutokuzaa nipamoja Na TB YA MFUKO NA MIRIJA YA UZAZI kapime haraka
Kama mwanaume anayeshindwa kupata mtoto Na Hana hamu ya tendo la ndoa
Akafanye vipimo vifuatavyo
1. Testosterone hormone
2.follicle stimulating hormone
Na atapata majibu na atakuwa salama kabisa
Mwanamke hata Kama ametoa kizazi lakin akabakiziwa mayai huyu anaweza akapata mtoto kwa njia yakupandiliza
Kupima saratani ya shingo ya kizazi nibure kwenye Vituo vyote vya kutolea huduma nchini main land and Zanzibar
Kansa inayoweza kutibiwa kwa urahisi kwa mwanamke inaitwa endometrial cancer
Na sababu zinazoweza kupelekea ukapata kansa hiyo ni pamoja na zifuatazo
1. Early menarche
2. Late menarche
3.obesity
4. PCOS
5. Exogenous unopposed estrogen
Mwanamke anapoanza kupata siku zake kabla ya miaka 12 na kumaliza siku zake katika miaka ya 50 huyu anaweza kupata hiyo aina ya saratani , lakin Ndio saratani pekee inayotibiwa kirahisi
Habari njema nikwamba kwa sasa hakuna mwanamke atakayeweza kushindwa kupata mtoto labda aamue mwenyewe njia nyingi Za kisayansi sasa zinaweza kumsaidia
Wanawake wanaotumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa ajili yakupanga uzazi habari njema nikwamba wanapata kinga kwa kuugua saratani ya mfuko wa mayai Yaan ovarian cancer
Mwanamke mjamzito mimba inapotimiza kuanzia miezi sita anaweza kuanza kusikia maumivu asiogope nikawaida tu ila yanapozidi atafute kituo chochote cha afya ahudumiwe
Mwanamke anayenyonyesha anaingia kwenye siku Za hatari wiki mbili mpaka nne baada ya kujigungua kwahiyo mwanamke anayenyonyesha anaweza kupata mimba hata kama haoni siku zake
Mda mzuri wakutaka kujua Kama mtoto wako hana tatizo lolote , fanya ultrasound mimba ikiwa na wiki 18-20
Tunaita ultrasound anatomy
Hakikisha unakutana Na mwenzi wako sio chini ya maratatu kwa wiki ikiwa unatafuta mtoto
Na Kama mwenzi wako yuko mbali mnakutana kwa mda maalumu
Waulize wataalamu wakupangie nisiku gani mhimu ambazo unaweza shika mimba
+255652580204
WHASAP only
HIV haiambukizwi kwa mate, kukohoa, Au kugusana mikono au kukaa pamoja
Jitahidi kabla hujashika mimba upime sukari , pressure na wingi wadamu ili kuepusha mtoto kuzongwa na ukuaji mbaya ambao kimsingi ungeepukika