Puna
JF-Expert Member
- Oct 9, 2013
- 2,770
- 4,857
Wale wajasiliamali wa kuku incubator inauzwa Tsh 1700000(milioni moja na laki Saba),Inatumia solar power na Gesi itakupunguzia stress za umeme wa Tanesco.Bei hiyo ni pamoja na Kioo watt 190,betri,charger control,invetor na Mitungi miwili ya gesi(empty).Imetumika mwezi mmoja tu.