This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,903
- 4,979
Nimewaza tu nje ya boksi.
Kwamba yawezekana Yanga ndiyo wachawi kupitia taulo la kipa wa timu pinzani.
Kwanini tunaona zile taulo zimebeba uchawi? Kwanini hatuwazi kwamba Yanga ndiyo wanaenda kuloga kwa kugusa mataulo ya makipa wa timu pinzani ili wapate magoli.?
Mbali na kugawa bahasha kwa marefa na wachezaji wa timu pinzani Yanga inao waganga walioajiriwa kwa ajili ya kazi hiyo. Na kila mechi wanakuwa uwanjani. Akiwemo Mzee Mpili nk
Sheria zinasemaje kwa mchezaji au kiongozi anayeonyesha hisia na matendo yakishirikina uwanjani??
Nb:Ingekua mchezo wa haki Yanga ingepoteza kwa kagera Sugar.
Haki ingetendeka Yanga ingesuluhu na Mashujaa.
Kwamba yawezekana Yanga ndiyo wachawi kupitia taulo la kipa wa timu pinzani.
Kwanini tunaona zile taulo zimebeba uchawi? Kwanini hatuwazi kwamba Yanga ndiyo wanaenda kuloga kwa kugusa mataulo ya makipa wa timu pinzani ili wapate magoli.?
Mbali na kugawa bahasha kwa marefa na wachezaji wa timu pinzani Yanga inao waganga walioajiriwa kwa ajili ya kazi hiyo. Na kila mechi wanakuwa uwanjani. Akiwemo Mzee Mpili nk
Sheria zinasemaje kwa mchezaji au kiongozi anayeonyesha hisia na matendo yakishirikina uwanjani??
Nb:Ingekua mchezo wa haki Yanga ingepoteza kwa kagera Sugar.
Haki ingetendeka Yanga ingesuluhu na Mashujaa.