Inawezekana kufanya overhaul kwa engine ya 1G VVTI?

Feb 3, 2014
31
42
Jamani wakuu poleni na majukumu,nina gari yangu Verrosa yenye engine ya 1G VVTI kwa sasa imefika kama Km 200,000 imeanza kutoa moshi na inaonesha dalili za kula oil japo sio sana.

Naombeni kwanza kujua namna ya kurekebisha hilo tatizo

Pili inawezekana kufanya overhaul kwa engine hii?

Tatu nini madhara na faida za kufanya overhaul?

Nne je, unaweza kuacha kufanya overhaul na badala yake ukanunua half engine(mswaki)ukamaliza tatizo hilo?

Tano ipi tiafauti ya gharama kufanya overhaul na kubadilisha half engine?

Please nisaidieni.
 
Kilometer 200000 ni chache sana Kwa gari Kaka. Kwa uzoefu wangu na 1G ni injini ngumu sana na pia injini zake ni Bei rahisi mno
Sasa sijui una nguvu kiasi gani za mfukoni.

Ila fanya overhaul si pesa nyingi. Kwa mfano gari kama Noah 3s injini zinakuja na tatizo hili ( used Noah) issue hapo ni valve seal na piston rings uliza mtu yeyote amenunua Noah used lazima Ile oil.

Wewe overhall gari hiyo itakuwa mpya kabisa. Ukipata fundi mzuri utaenjoy.

Overhall kit ya hiyo gari ni bei Chee sana, gharama za fundi itategemea na fungi wako ila.

500000 inatosha kabisa kununua overhall kit+fundi+ silcon+ na vitu vingine vidogo vidogo
 
Wala usinunue engine mpya wala kufanya overhaul.Tatizo linaonekana ni piston zimejichimba shimo pamoja na piston rings zimekufa kwa hiyo oil inavuja na kwenda kuunguzwa kwenye combustion chamber pamoja na mafuta.Mwarubaini hapa badili piston pamoja na piston rings.
 
Kilometer 200000 ni chache sana Kwa gari Kaka. Kwa uzoefu wangu na 1G ni injini ngumu sana na pia injini zake ni Bei rahisi mno
Sasa sijui una nguvu kiasi gani za mfukoni...
Asante sana kaka! Kwa kuwa naipenda gari yangu 500000/= si kitu kikubwa ukilinganisha na mapenzi yangu kwa gari zenye 1G VVTI.
BARIKIWA SANA MKUU
 
Wala usinunue engine mpya wala kufanya overhaul.Tatizo linaonekana ni piston zimejichimba shimo pamoja na piston rings zimekufa kwa hiyo oil inavuja na kwenda kuunguzwa kwenye combustion chamber pamoja na mafuta.Mwarubaini hapa badili piston pamoja na piston rings.
Asante mkuu
 
Kilometer 200000 ni chache sana Kwa gari Kaka. Kwa uzoefu wangu na 1G ni injini ngumu sana na pia injini zake ni Bei rahisi mno
Sasa sijui una nguvu kiasi gani za mfukoni....
Shida ya ku over haul engine za kijapan ni material utakazopata kwenye spares ulizinunua !

mara nyingi vitu kama piston ,rings , seals , zinakuwa na ubora hafifu kuliko zile genuine parts.

Kukata mzizi wa fitna watu wananunua used engines
 
Shida ya ku over haul engine za kijapan ni material utakazopata kwenye spares ulizinunua !

mara nyingi vitu kama piston ,rings , seals , zinakuwa na ubora hafifu kuliko zile genuine parts.

Kukata mzizi wa fitna watu wananunua used engines
Mkuu naomba nitoe matongotongo.Hivi kwa mfano labda katika gari yangu piston zimeisha au tuseme zimechimbika shimo na rings pia zimekufa kiasi kwamba oil inavuja kwenda kwenye combustion chamber.Je,kitendo cha kubadili hizo piston pamoja na rings pia kinaitwa engine overhaul?
 
Kilometer 200000 ni chache sana Kwa gari Kaka. Kwa uzoefu wangu na 1G ni injini ngumu sana na pia injini zake ni Bei rahisi mno
Sasa sijui una nguvu kiasi gani za mfukoni.

Ila fanya overhaul si pesa nyingi. Kwa mfano gari kama Noah 3s injini zinakuja na tatizo hili ( used Noah) issue hapo ni valve seal na piston rings uliza mtu yeyote amenunua Noah used lazima Ile oil.

Wewe overhall gari hiyo itakuwa mpya kabisa. Ukipata fundi mzuri utaenjoy.

Overhall kit ya hiyo gari ni bei Chee sana, gharama za fundi itategemea na fungi wako ila.

500000 inatosha kabisa kununua overhall kit+fundi+ silcon+ na vitu vingine vidogo vidogo
Umemaliza kila kitu..ushauri murua kabisa huu na hizi mambo unajua
 
Back
Top Bottom