WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,461
- 1,544
Wakuu Tv tajwa hapo inauzwa nilinunua 24/11/2014 niko hapa Moshi bahati mbaya nimepata uhamisho kikazi kwa hiyo nauza vitu vyote.
Pia nauza Subwoofer sea Piano-SP 513.
Bei Led Tv ni 580000/- mimi nilinunua laki sita,hasara yangu ni 20000/- sabwoofer bei yake ni 90000/- mi nilinunua 120000/- bt niliinunua mwezi wa saba.
Mi niko hapa Moshi maeneo ya Soweto. Pia nina viti vya Plastic anayehitaji anaweza akapata kwa bei ya 10000/- viko viwili na stand ya viatu but ya kichina bei maelewano.
Asanteni sana, hasa watu wa Moshi au Arusha ndo tunaweza fanya nao biashara kwa watu wa mbali itakua ngumu kwa sababu ya usafiri maana sikukuu ndo zimeanza.
Call 0769344814
Pia nauza Subwoofer sea Piano-SP 513.
Bei Led Tv ni 580000/- mimi nilinunua laki sita,hasara yangu ni 20000/- sabwoofer bei yake ni 90000/- mi nilinunua 120000/- bt niliinunua mwezi wa saba.
Mi niko hapa Moshi maeneo ya Soweto. Pia nina viti vya Plastic anayehitaji anaweza akapata kwa bei ya 10000/- viko viwili na stand ya viatu but ya kichina bei maelewano.
Asanteni sana, hasa watu wa Moshi au Arusha ndo tunaweza fanya nao biashara kwa watu wa mbali itakua ngumu kwa sababu ya usafiri maana sikukuu ndo zimeanza.
Call 0769344814