masanjamkandamizaji
Senior Member
- Oct 30, 2014
- 171
- 72
Ukiona Uhusiano uliopo hauendi vile unavyotamani uende waza upya, ukiona kila siku ni wewe tu unayeumia na kuumizwa na anayekuumiza hajali japo ni mwepesi wa kulia michozi ndoo nzima pindi ukimwambia unataka kumuacha,tafakari sana.
Na ikifikia kipindi umeona its enough na unataka Kumove On, usiruhusu kitu chochote kukurudisha nyuma, usiruhusu feeling zako mwenyewe kukulet down, usiruhusu marafiki wasumbue decision yako, wala usimruhusu EX kukuhadaa kwa maneno matamu ili urudi.
Funga Vioo, weka tinted kali.
Leo mvua imenyesha utaona EX anatuma meseji' 'Vipi na huko mvua imenyesha, nasikia baridi kweli'?
Wewe mwambie Mimi sio mamlaka ya hali ya hewa, kama unasikia baridi Washa Heater.
Hizi ni meseji tu za uchokozi ili apate attention yako na ukimruhusu atauliza mambo kadha wa kadha, mara hujanimiss na hii baridi, mara I wish you were here.
Atakutoa kwenye concentration yako as u progress to heal your wounds.
Usikubali kuwa mtumwa wa Uhusiano ambao wewe unapata 20% na yeye 80% halafu unasema 'Iam in a relationship'..my friend Ur in Prison sema tu Mapenzi hayana magwanda ya Orange kama wafungwa wa Keko.
Move on, your better Man/Woman is waiting for you we umekazana na hilo nungayembe.
Always move forward! SORRY FOR THAT BUT INABIDI NIWE MKWELI SASA NADHANI TUMEFIKA KIKOMO INATOSHA SASA.
#‎Ukiona_ujaelewa_jua_haikusu_inaemusu_kashaelewa_somo
Na ikifikia kipindi umeona its enough na unataka Kumove On, usiruhusu kitu chochote kukurudisha nyuma, usiruhusu feeling zako mwenyewe kukulet down, usiruhusu marafiki wasumbue decision yako, wala usimruhusu EX kukuhadaa kwa maneno matamu ili urudi.
Funga Vioo, weka tinted kali.
Leo mvua imenyesha utaona EX anatuma meseji' 'Vipi na huko mvua imenyesha, nasikia baridi kweli'?
Wewe mwambie Mimi sio mamlaka ya hali ya hewa, kama unasikia baridi Washa Heater.
Hizi ni meseji tu za uchokozi ili apate attention yako na ukimruhusu atauliza mambo kadha wa kadha, mara hujanimiss na hii baridi, mara I wish you were here.
Atakutoa kwenye concentration yako as u progress to heal your wounds.
Usikubali kuwa mtumwa wa Uhusiano ambao wewe unapata 20% na yeye 80% halafu unasema 'Iam in a relationship'..my friend Ur in Prison sema tu Mapenzi hayana magwanda ya Orange kama wafungwa wa Keko.
Move on, your better Man/Woman is waiting for you we umekazana na hilo nungayembe.
Always move forward! SORRY FOR THAT BUT INABIDI NIWE MKWELI SASA NADHANI TUMEFIKA KIKOMO INATOSHA SASA.
#‎Ukiona_ujaelewa_jua_haikusu_inaemusu_kashaelewa_somo