Stahili ya pongezi huwa na maana pale mtu anapovuka malengo kwa kutumia vigezo vilevile vilivyowekwa. Nje ya hapo pongezi zote ni hewa tupu.Kuwajibika kwa watu unaopaswa kuwajibika kwao ni lazima na si hisani , na kupewa pongezi kwa uwajibikaji wako katika majukumu yako ni ihari ya mtoa pongezi.